Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

rayo vacellano gg @50000
ngoja nimle na hapa

Kwa hii rafu unayo mchezea mhindi lazima mwaka huu akukome. Kama na hapa uliweka tukiacha ile 94 sina budi kukupa bonge la pongezi.
 

Dallas mpe win kwa handicap, 100 anaweza asifike!
 
Kwa hii rafu unayo mchezea mhindi lazima mwaka huu akukome. Kama na hapa uliweka tukiacha ile 94 sina budi kukupa bonge la pongezi.

kwa timu moja moja au mbil huwa namla sana muhindu ko ukweli..hata nikiliwa huwa hainiumi sababu najua ntamla wakat mwingine
 
Raimundo, mechi tatu katika football zimeahirishwa katika timu 12 nilizocheza. 9 zimeenda kama nilivyotabiri; hapo mhindi tutaelewanaje? Uzoefu tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
kwa timu moja moja au mbil huwa namla sana muhindu ko ukweli..hata nikiliwa huwa hainiumi sababu najua ntamla wakat mwingine

Mi nimeshajifunza siku hizi naweka mikeka miwili na maximum naweka buku 10500 au 5500. Mkeka wa hela nyingi naweka timu 2 au 3 za uhakika then hako kajero naweka hata 6 kama ziko vizuri
Ni bora Kutengeneza faida ya buku 10 kuliko kila siku kuliwa almost buku 2 kwa tamaa ya kutaka kumpiga muhindi pesa mingi
 
Raimundo, mechi tatu katika football zimeahirishwa katika timu 12 nilizocheza. 9 zimeenda kama nilivyotabiri; hapo mhindi tutaelewanaje? Uzoefu tafadhali.

Yaani hapo zile zilizo hairishwa zinapewa ods ya 1.0
So calculate odds zote ambazo hazijahairisha zidisha kwa pesa ulio weka ujue umekatwa shilingi ngapi
 
Last edited by a moderator:
Prediction za leo 31/1 ziko hivi:

Chelsea vs. Man city--DRAW

Hull vs. Newcastle--- DRAW

Liverpool vs. West Ham-DRAW

Man U vs. Leicester-- (3-1)

Stoke vs. QPR--(2-0)

West Ham vs. Tottenham-(0-3)

Sunderland vs. Burnley--(0-1)

Dartford vs. Bristol--(0-1)

Forest Green vs. Nuneaton-(2-0)

Inverness vs. Ross county-(2-0)

Alloa vs. Hearts--(0-2)

Fc Groningen vs. Go ahead. Eagles--(3-0)

PSV vs. Willem II--(3-0)

Celta Vigo vs. Cordoba--(2-0)

R.Madrid vs. R. Sociedad--(3-0)

Eibar vs. Atl.Madrid--(0-2)

Penafiel vs. Guimaraes--(0-1)

Benfica vs. Boavista--(2-0)

Karabukspor vs. Fenerbahce--(0-2)

kayserispor vs. Orduspor--(3-0)

Antalyaspor vs. Karsiyaka--(2-0)

Schalke 04 vs. Hannover-(2-1)

Bayern vs. Dortmund--(1-0)

Roma vs. Empoli --(2-0)

Kazi kwetu kumliza muhindi.. pitia Hayo makitu halafu changanya na za kwako
mimi ntachagu game 3 za kuweka mbesa mingi halafu ntachagua kama 6/7 hivi za kuweka kajero

ANGALIZO: ubashiri huu siyo guarantee ya 100% ukiufuta kama ulivyo na ukaenda kinyume na matokeo halisi, usinilaumu mimi. TAKE IT FOR YOUR OWN RISK!!
 
Wakubwa nimepitia na kuchambua hatimae nimeona hizi nizaweza kuleta mafanikio.
Stock----win
Psv-----win
Man ........win
Real Madrid.........win
Pitia na ww useme kama zinafaa kutupia dau kubwa.
 
Odds 9.6
 

Attachments

  • 1422688285473.jpg
    80.4 KB · Views: 188

Daaah kaka nikipna hivi hadi roho.inaniuma, hapo me niliweka Sevilla aongoze 1st half, kwingine kote ilikua sawa tu hata wale watt wa Under 20 Brazil, na Argentuna walitoa 1st half draw, Sevilla tuu mafala wameninyima hela. But atleast wamekupa hela wewe.
 
Msaada jamani kuweka half time m bet jamani. jana munich kaanifanyia vibaya kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…