Lyon,liberic,genk,sevila,rubin kazan,totenham.
kwa buku huo mkeka unaleta ngapi?
Mainvestor leo inabidi kanjibah aisome namba.. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa uefa ndogo basi tupia mkeka wako wazee wa kucopy na kupaste 2fanye kazi
Mdau hawa mbet vipi mbona hawalipi?
tokea juzi bado hawajakulipa? Kama ni mkeka wa jana sometyme wanatupia hata usiku wa manane we subiria tu.
Wamenilipa nataka kutupia naona inazingua vby mno
Bora network imeokoa hela yangu coz mkeka ungechanika
piga *149*19# then fata maelekezoJamani nipeni hatua za kubet via mpesa kwani nipo mbeya alafu huku vile vimashine havipo na ndivyo nilivyovizoea,ila nasikia mbet wanaanza na buku ila sijui malipo yao inakuwaje!hawazingui?
piga *149*19# then fata maelekezo