Mi leo nimeweka first half - no redcard(mechi zote)
Unatumia kampuni gani kubet huo mchezo?
Kula like.
Nimejaribu hiyo ya gateway gaming ltd,hivi wanalipaje?nijuze mkuuKama haifunguki itakuwa ni tatizo la mtandao au wao wenyewe wamefanya kama kawaida yao ifikapo wkend website yao hua nzito sana kufunguka
Mkuu ni Iplay8casino
Total odds n 1.27 (hii option ina odd chache lkn atleast probability ya kishinda ni kubwa)Mkongwe sana humo ila siikumbuki hiyo. Vipi lakini umekusanya odds ngaap?
Nimejaribu hiyo ya gateway gaming ltd,hivi wanalipaje?nijuze mkuu
Total odds n 1.27 (hii option ina odd chache lkn atleast probability ya kishinda ni kubwa)
Hongera mkuu kwa kumpiga Kanjibai :smile-big:Naanza hivi @50000
Tottenham gg
union Berlin gg
Tottenham win
Real Madrid win
Arsenal amesha haribu mikeka ya wengi ila mm nilijua.
Naanza hivi @50000
Tottenham gg
union Berlin gg