Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
Hahahha wazee leo kazi ipoo hahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaaa Leo hatariiiii
Handicap Chelsea kapewa 2.weka 20 ule 40 kukukoo kujaza matimu mengi na ule za uso
Watu wengi wamekula za uso leo... kamali ni pasua kichwa.. bora kuuza matembele... hahahahaha.
0-3 goals. Takribani timu zote zimechezea hapo. Wenye mitaji wanakimbilia kubet final score kisa eti zina odds nyingi. Nami nasema muhindi endelea kuwapiga tu mpaka vijana wafilisike.
mikeka imechomwa Leo haijachanwa hahaha RMA amewauwa wengi.
Huyu muhindi wa meridian vipi?? yani nimempa za uso hivi mpaka ameamua kunikatia network.. pumbafuu
Muhindi wa meridian arakoma na mm huu mwaka mpaka ninunue fuso
Halftime/fultime
Mfano
Tottenham vs Arsrnal
1-1 hapa inamana tott ashinde mwanzo mwisho
2-2 hapa inamana Arsenal ashinde mwanzo mwisho
Sasa unaangalia mechi yenye odds nyingi kwenye hivyo vipengele viwil maana kuna zingine utakuta
1-1 ina odds ya 4.12
2-2 ina odds ya 7.26
Alafu unaangalia timu nyingine moja au mbili zenye odds za mbili mbili
Mfano
Villareal 2.14 win
Notts forest 2.12 win
Sasa hapo unaigawa hela uliyo nayo kama n 10000
Unaweka5000 kwa 1-1 totto
4.12*2.14*2.12=18.7 odds
5000*18.7=93458
Unaweka 5000 kwa 2-2 Arsenal
7.26*2.14*2.12=32.9 odds
5000*32.9=164685
Hapo unakuwa unauhakika wa kula kwa timu pande zote labda zitoe draw fanyen kubadilika lasivyo muhindi atawaua hiv hiv mnajiona😂😂😂😂😃😃😂😃😂😃😂😂😂
💶💶😋😋mimi napiga misimbaz tu😋😋😋
watu wengine wanabeti kwa tamaa ya kula mamilioni.... afu wanakuja kulalamika huku kuwa leo wameliwa sana.... jamani msikurupuke kwani mutambue kuwa munatumia pesa zenu.... tumieni akili kumpiga huyu mzungu...me leo nimeliwa mikeka kama kumi ya 20,000 na nimekula mikeka mitatu 470000 ambapo nilibetia 50000 cash....kuna option nyingi jamani... me wiki hii nimempiga huyu mtu kama laki tisa na sijui kesho itakuwaje kwani kuna mikeka niliyochanganya timu za leo na kesho zinasoma pesa mingi....
nashangaa kuna watu wanalalamika wameliwa sana