Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
What comes around goes around.hizo njia zote ni kupunguza risk tu ya kutokuliwa.hii ni bahati na sibu na itabaki kuwa bahati na sibu hamna uhakika na kitu chochote.tunachangiana sisi wenyewe kuondoa matatizo,leo kwangu kesho kwako.kuna option rahisi kama za timu kupata goli moja yenye odd ya 1.02 hasa kwa timu kubwa dhidi ya dhaifu na bado ukala za uso asi score.kutuambia tusibetie kwa tamaa kwa vile umekula tambua hao washindi wanao piga kuanzia 15 million wali bet kwa tamaa na mwishowe vikatiki. No matter what kamari itabaki kuwa kamari