Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

What comes around goes around.hizo njia zote ni kupunguza risk tu ya kutokuliwa.hii ni bahati na sibu na itabaki kuwa bahati na sibu hamna uhakika na kitu chochote.tunachangiana sisi wenyewe kuondoa matatizo,leo kwangu kesho kwako.kuna option rahisi kama za timu kupata goli moja yenye odd ya 1.02 hasa kwa timu kubwa dhidi ya dhaifu na bado ukala za uso asi score.kutuambia tusibetie kwa tamaa kwa vile umekula tambua hao washindi wanao piga kuanzia 15 million wali bet kwa tamaa na mwishowe vikatiki. No matter what kamari itabaki kuwa kamari
 
Man shitty kaniua kijinga
 

Attachments

  • 1423367188411.jpg
    25.7 KB · Views: 195
Hii ni kamari na mtu ukila leo unaweza kutumia hio formula ukapata ila kesho ikabuma. Chakufanya hapo ni mtu kuwa makini wakati wote.
 
Muhindi kanila Jana na juzi mwaka huu lazima anifilisi sijui Leo nimuotee vipi maana nimechoka kupigwa plz nipeni njia zakumpiga Leo
 

Umeongea point sana mkuu kushinda kwao Jana wasitegemee kushindi kila siku kwani naye muhindi mjinga ??? Asijue hizo mbinu za kumla? Daima na sema hii ni kamari so kuna kushinda na kuloose ni sawa mnapoingia kucheza uwanjani dk 90,hamna ajuaye atashinda nani,
 

Hii ni bahati nasibu mzee,shukuru kwa bahati uliyonayo tu hilo ndo la msingi.....!!chakushauriana hapa ni kucheza gg huku balance ikiwepo ya kuokoa mkeka ili pesa isiende yote ukiwa online kwa game moja tu.
 
Man u win 1.89
Barcelona win 1.31
PSG win 2.07
Newcastle win 2.15


@50000

Mchango wa mawazo plz.
 
wakuu naombeni kujua tofaut za kubet kwa m-bet na premier betting..
 
Hii ni bahati nasibu mzee,shukuru kwa bahati uliyonayo tu hilo ndo la msingi.....!!chakushauriana hapa ni kucheza gg huku balance ikiwepo ya kuokoa mkeka ili pesa isiende yote ukiwa online kwa game moja tu.

najua hilo na pia huwa mara nyingi naweka timu mbili au tatu za uhakika kwa mikeka mingi bila kurudia timu na kutupia pesa nyingi, ndo siri ya mafanikio kupata faida kuliko hasara....my take...wanaoliwa ni wengi kuliko wanaokula ndo maana Mzungu hatuwezi kumfilisi
 
Bhanaa wadau naomba mnisaidie hapa mana me sielewi vizuri, kwenye mbet, handcap unakuta iko hvi: liverpool vs (+1)bolton..
Msaada plz..
 
Msaada tafadhal wana jamvi nna buku 3 nataka kubet leo vp nimuweke nan nimpge mhindi?

Tupia kwenye timu zifuatazo:
Fc Augsburg win
Sevilla win
Man u win
Barca win
Ajax win
Total odds 15.5
 
lamezia gg
karlsruher gg
burnley gg
augsburg gg
@50000
WAKUU MIMI LEO SIJAWEKA MKEKA KWA HIYO ATAKAEWEKA HUU MKEKA,ANISAIDIE HATA YA BIA 100% HUU MKEKA UNATIK
 
sporting cp gg
unam pumas 12 double chance
arouca 12
up langreo gg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…