Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jana yaani Ningejua Yaya toure hachezi nisingempa mancity ashinde/asuluhu. ila ndio hivyo tena. Huu ni wa jumamosi, nani atoke hapo.? mention timu nne za surebet.



 
Duu hii michezo tunakaribisha ugonjwa wa moyo, tuombe mungu hapafinal score ya athletico ndo inanitia kiwewe japokua Liverkusen amekua chai sana siku hizi

Mhh naleo tena moja hii ss cfa mzungu tuna umizana moyo jaman,.Dah athletico katuua na leo tena ila sio mbaya atafutae hachok ipo siku atalipa haya yote.
 
Hiv mzungu hawez kuwafkilia wanao kosea timu1 tu hata kurudisha pesa tulio betia jaman,Hii co fea kbs
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1424922838.694068.jpg
    29.9 KB · Views: 130
Jaman online tangu juzi haifunguki kabisa iwe app au Web zote hapana au simu yangu tuu?
 
Duh Leo zimeenda kinyume kabisa

Duu mtaji unahusika nianze kuwapiga kama zamani, ila kama kuna mtu anaitumia hiyo opportunity ya GG peke yake akaweka mpunga mrefu basi anatoka vizuri.
 
Mhh naleo tena moja hii ss cfa mzungu tuna umizana moyo jaman,.Dah athletico katuua na leo tena ila sio mbaya atafutae hachok ipo siku atalipa haya yote.

Ngoja niandae mwingine leo ambao utakua ni trial ya 3 kwenye hii method, ukikikataa basi nitafanya change ya plan kwenye stake na idadi ya timu. I meshaliwa elfu 20 kwenye hii kitu, target ilikua 30.

Pia nitaweka akiba ya kesho coz kuna game nyingi sana.
 
Duu mtaji unahusika nianze kuwapiga kama zamani, ila kama kuna mtu anaitumia hiyo opportunity ya GG peke yake akaweka mpunga mrefu basi anatoka vizuri.

Aisee me naona ss tutafute timu3 zenye GG ya uhakika tuweke mpunga kukuza mtaj hlf baadae ndio turud kwenye hiz za pesa ndefu bla hvyo atatutoa nishai MZUNGU.
 

Poa sema andaa uuweke kbla huja tupia mzgo tuchambue kdg tutakacho pata kwa p1 ndio tutupie na leo tena tuone ktatokea nn
 
Bio hazard.....we utupie kma ulivyo...mi ntagawanya kwa kutoa timu moja moja ..lazima nishinde.....juzi wa hazard kasoro timu moja jana kasoro timubmoja,wa mtoto wa nzi pia kasoro timu moja....asaivi ulitua tu mkeka natoa timu moja....na kwa experience ya mikeka yote minne humu iliokosea mitatu ni kutoa tu mechi yenye oddbkubwa kati ya zote
 
Kingz poa natupia sasa hivi mikeka.
Root niaje aisee sioni inputs kabisa upo holiday?
 
Last edited by a moderator:
Hapa vp wadau??
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1424934683.109215.jpg
    37.1 KB · Views: 132
Zenit win
Club brugge win
Napoli win
Everton win
10000
Mawazo yenu wakuu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…