Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

My Account.pngMy Account1.png

dah...nkasema nijaribu kurudi mzigoni....michezo rahisi...ona nilivofanywa
 
Wazee wenzangu kwenye Basket kuna ligi ya Philippine, inaitwa Commissions Cup, game zake zinachezwa saa 5:15 (tano) asubuhi na saa 8:00 (nane) mchana, hizi mechi nimezisoma na kuzielewa vizuri.

Game ni dakika 12 kwa quarter na ni quarter 4, jamaa wanafunga sana sana lakini mara nyingi unakuta total points wanapewa 176; wao wanaenda mpaka 190-200.

Kati ya game 5, 4 zinakuwa over, so unatia mpunga mwanzoni tu game haijaanza unasubiri zako kwenda kuvuta hela game ikiisha.

Kesho game hakuna mapaka Jumanne, nitawakumbusha kuangalia odds zikishawekwa, pia baada ya mechi tutapeana mrejesho, nataka tuone kama wote tukifikia conclusion moja basi tufikirie kuwekeza huko.

Pia ligi ya Korea Kusini inakuwa na under nyingi sana, kati ya kumi utakuwa na under 7 on average.

Angalieni stats flashscore.com tupeane mawazo zaidi.

Mkuu hebu fanya hvyo mana ss nmeamua kuwekeza kiukwel nmeandaa mtaji wa lak2 kwaajl ya biashara hii nazan nktulia inaweza kulpa fasta.
 
Trabnozpor win
Achiles win
samsungspor win
belenes win
cska moscow win
ignolant win
 
Hizi ni mechi za South Korea za leo, cheki ni ipi itaenda under! My prediction ni hiyo ya pile yenye 161! Ila sijaweka mzigo naangalia tu kwanza.

South Korea.jpg
 
Wakuu nataka kubet Kama ifuatavyo. Mechi za jumatano....... Arsenal,Chelsea,man utd,man city na Liverpool zote zipate at least magoli Mawili kila mmoja. Odds Kama 9.7 Ivi Nitie laki. Nakaribisha maoni wakuu kuna usalama hapa?.
 
Wakuu nataka kubet Kama ifuatavyo. Mechi za jumatano....... Arsenal,Chelsea,man utd,man city na Liverpool zote zipate at least magoli Mawili kila mmoja. Odds Kama 9.7 Ivi Nitie laki. Nakaribisha maoni wakuu kuna usalama hapa?.
wanacheza na timu gani kila moja....
 
Hizi ni mechi za South Korea za leo, cheki ni ipi itaenda under! My prediction ni hiyo ya pile yenye 161! Ila sijaweka mzigo naangalia tu kwanza.

View attachment 231073

SAKERS head to head zao 5 zilizopita 2 zime over ..3 under
Incheon nao mechi 5 head to head 2 zimeover ...3 under
lolote linatokea ni za kuangalia...
 
japokua game ya man utd na ya chelsea are very tricky but with odds ya 2 man utd na 1.65 chelsea it is worthy taking the risk
 
SAKERS head to head zao 5 zilizopita 2 zime over ..3 under
Incheon nao mechi 5 head to head 2 zimeover ...3 under
lolote linatokea ni za kuangalia...

Sure, ndiyo maana nikasema sijaweka mzigo, naziangalia tu.

However, my instincts zinaniambia game ni under!
 
wakuu kuna kitu kimoja nimekigundua kwenye betting ya soka,game zenye pointi sawa au tofautiana kidogo zinazokutanisha timu kubwa na timu ndogo,mara nyingi timu ndogo huwa zinashinda mfano lille vs lyon wote walipewa 2.64 na mwisho wa siku lille alishinda,pia derby na fulham mwisho wa siku fulham akashinda,southhampton na westbrom westbrom akashinda na hata napoli jana mmeona, mlolongo huo unaendelea zaidi na zaidi ni mara chache sana upande mwingine huwa unashinda au kutoa droo so wadau hii tip tuifanyie kazi.
 
Back
Top Bottom