Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Kuna HW2/AW2. na HT/FT unajua tofauti yake? Hiyo ya kwanza NI LAZIMA timu iongoze BOTH HALVES kwa maana ya kuwepo kwa tofauti ya goli 1+ kwa timu husika dhidi ya nyingine!Kwa case ya pili,timu inategemea umeipa option ipi cuz zipo nyingi...kama ni ushindi basi timu NI LAZIMA iongoze kipindi cha kwanza na mechi ikiisha awe mshindi hata kama kipindi cha pili walitoka draw au alipoteza
Hii kitu inafaida ukiotea,juzi ligi ya uingereza nilipiga laki 8
dude hongeraaa....uliweka sh.ngapi?
Niliweka man city atashinda,Liverpool atashinda,Chelsea atashinda moja ya kipindi cha kwanza au cha pili,arsenal kipindi yoyote,nikaweka laki 4 nakushinda laki 8 na tisini hivi.
Yaani ina maana hata arsenal au Chelsea wafungwe cha msingi washinde half time moja
dude hongera tena though ume-risk sana kuweka lak 4 kwa possible amount lak 8
friend of my friend from IFM aliweka elf 20 akashinda m 18
me sina bahati .....niliwahi kula Mara moja tuu
Aisee mi nilikuwa kama Nina uhakika maana Chelsea kushinda,arsenal kushinda,Liverpool na man city kushinda kuna uwezekano mkubwa,mfano ukiweka 10,000 unashinda 20,000.mi nilifanya tu risky,sasa rafiki yangu aliweka laki mbili akabet Liverpool atafunga vipindi vyote,man city ataunga vipindi vyote,Chelsea atashinda,arsenal atashinda na Tottenham atashinda,akapiga million mbili,sema hatujui matokeo ukibahatisha unaweza kupata mtaji mkubwa
Hii kitu inafaida ukiotea,juzi ligi ya uingereza nilipiga laki 8
hahahaha kweli betting.....ts a PROBABILITY
poa mkuu
Nipeni mkeka wa Football wa usiku huu.. Raimundo leo naona kuna pesa kule kwetu NBA.. hebu nipe mkeka wa fasta
Shukran kwa Mtoto wa nzi mkeka wangu wa leo ni huu
View attachment 232525
Mkuu mi zikiwa nyingi nachanganyikiwaga aisee, tuwape GSW kushinda quarter 1 kwa handicap ya 2.5. Dallas hawako vizuri na jana walicheza game, watakuwa wamechoka.
mdau.... mia mia....subiri mzigo.... huyu mjeruman....ingolstadt hii wiki ya tatu mfululizo anatoa sare.... na bado anaongoza ligi......msengerema saaaaanaaaaaShukran kwa Mtoto wa nzi mkeka wangu wa leo ni huu
View attachment 232525