Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Kuna HW2/AW2. na HT/FT unajua tofauti yake? Hiyo ya kwanza NI LAZIMA timu iongoze BOTH HALVES kwa maana ya kuwepo kwa tofauti ya goli 1+ kwa timu husika dhidi ya nyingine!Kwa case ya pili,timu inategemea umeipa option ipi cuz zipo nyingi...kama ni ushindi basi timu NI LAZIMA iongoze kipindi cha kwanza na mechi ikiisha awe mshindi hata kama kipindi cha pili walitoka draw au alipoteza
Hiyo HM2/AW2 kwa premier bet sijawahi kuiona sijui ni kampuni gani wanatumia hiyo. Kwa HT/FT upo sawa.
