Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jana mambo hayakuwa mazuri kabisa bayern,barca wameharibu
 
***** Borrusia Dortmund yani kushinda hata goli moja muubariki mkeka wangu wa gg .......!!!!
 
Wakuu tusing'ang'anie tu kwenye footbal ,,,kwa wale wa i play 8,meridian kuna michezo mingi kama basketball,ice hockey ,tenisyan ni simple sana kupiga mpunga maana kama basket kutoa draw ni ngumu sanaaa so unaweka loose or draw simpleeeeeeeee kweli
 
Wakuu tusing'ang'anie tu kwenye footbal ,,,kwa wale wa i play 8,meridian kuna michezo mingi kama basketball,ice hockey ,tenisyan ni simple sana kupiga mpunga maana kama basket kutoa draw ni ngumu sanaaa so unaweka loose or draw simpleeeeeeeee kweli

Hahahaha kiongozi unataka tumalize hela zetu nini?? Mie football na horse racing inatosha
 
Wakuu tusing'ang'anie tu kwenye footbal ,,,kwa wale wa i play 8,meridian kuna michezo mingi kama basketball,ice hockey ,tenisyan ni simple sana kupiga mpunga maana kama basket kutoa draw ni ngumu sanaaa so unaweka loose or draw simpleeeeeeeee kweli

Ushajaribu?
 
Basketball rahisi ila odds zake ni vichekesho, unless uweke dau kubwa
 
Kuna ligi nazichukia mojawapo ni ya uturuki hawa jamaa wanacheza kamari ka huamini weka hela yako uliwe
 
Kuna ligi nazichukia mojawapo ni ya uturuki hawa jamaa wanacheza kamari ka huamini weka hela yako uliwe

Kaka ligi ya uturuki na italy si za kuziamini, mafia wanaweka madau makubwa and then wananunua marefa, trust me
 
Back
Top Bottom