Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

wadau..mi ninavyoona kwa sasa ligi hazitabiriki, timu zinapigania ubingwa, top spots zishikiri UCL au Europa ama kutokushuka daraja, zingine zinacheza tu kukamilisha ratiba! ni bora mtu ukaweka Under or Over (Total Goals) sababu kila timu sasa hivi inataka kufunga kwaiyo zinacheza attacking football na ukicheza mpira wa kushambulia kuna probability na ww kupigwa goli...ni nadra sana hivi sasa kukosa magoli kweny hizi major European Leagues....ni hayo tu
 
Wakuu huyu kanji mbona nikipanga mkeka hatumi zile sms zinazoonesha umeweka timu gani.Hata risiti hatumi.
 
Ivi jaman kweli
"psg" kweli yakufungwa tena ikiwa nyumban? Na madridi amefikia hatua ya droo? Daaaa! Sasa sibet tena nimekoma kuwawekea mkeka timu kubwa kubwa! Jinga sana!!
 
Hizi timu bana bora ningepeleka sadaka kanisani kuliko kuwekeza
 
Kaka nahujumiwa,Zile dakika mbili zikiisha sipati tena ile text yenye risiti namba.Nikiwahi kulipia sipati tena text!!

mi imenitokea sana hiyo toka wiki iliyopita lakin huwa nawai kunakili namba ya risiti na ninalipia na bado hawaniletei text ya tiketi lakini mwisho wa siku kama nikila wananitumia mpunga
 
Hii kitu msiipime jamani. Kama kuna mtu anataka furushi la dollars ajaribu mchezo huu kama mimi nilivyofanya last week nikapata dollar 5080!
 
Back
Top Bottom