Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hapana sijavunja kwani roho ilisita kuweka kwenye haya makampuni ila nikaweka na mtu baada ya lile goal la Ramos, nikasema Ronaldo lazima afunge akasema hapana alipofunga akanipa Laki
 
dah ila world cup must betting itakua upande wangu team england ila mzigo ntaweka badae
 
Game ya leo nigeria v scotland nasikia mafia washanunua, polisi wanafanya uchunguzi, chonde chonde game usiiguse itakupoteza maboya.
 
Sa c ndo umerahisishiwa,maana Naija wahawezi kuiacha hiyo pesa.....!ndo maana ulaya wachezaji wanalipwa pesa nyingi...kamari zimewaongezea thamani.
 
Game ya leo nigeria v scotland nasikia mafia washanunua, polisi wanafanya uchunguzi, chonde chonde game usiiguse itakupoteza maboya.

Mkuu hapa ndo nlipokua natafuta mm,,em nifafanulie hapo kwenye mafia kununua game? Ni kwamba gambling companies wananunuaga games au? Mana nimekua nahic kuna somethng behind the scene kwnye hii gambling games
 
Sa c ndo umerahisishiwa,maana Naija wahawezi kuiacha hiyo pesa.....!ndo maana ulaya wachezaji wanalipwa pesa nyingi...kamari zimewaongezea thamani.

Ki vp mkuu? yani wachezaji na makubaliano yyte na gambling companies au?
 
Betting mbaya kweli siitaki mie, imanifilisi kahela kangu bora ningekaacha nitumie world cup kanenepe.
Madrid walinitia homa kabisa kabisa
 
Mkuu hapa ndo nlipokua natafuta mm,,em nifafanulie hapo kwenye mafia kununua game? Ni kwamba gambling companies wananunuaga games au? Mana nimekua nahic kuna somethng behind the scene kwnye hii gambling games

mara nyingi wananunua game au sometyme kuna vi2 vidogo vidogo wananunua, mfano kuna zile betting za nani wa kwnza kurusha mpira, kupiga kona, yelow cad,red card n.k. Mara nyingi game za kirafik ndo zinakuaga na mambo haya. Mfano mwaka juzi zimbabwe timu ya taifa walipewa mpunga mwingi na mafia ili wauze game na timu moja ya Asia nimeisahau kidogo, na kweli jamaa walipokea rushwa na karibia wachezaji wote walifungiwa...
 
Sa c ndo umerahisishiwa,maana Naija wahawezi kuiacha hiyo pesa.....!ndo maana ulaya wachezaji wanalipwa pesa nyingi...kamari zimewaongezea thamani.

police wanafatilia huo msala nadhani nigeria watakaza ili isije ikashtukiwa
 

Doh,,ila kwann most of the bettors huwa wana lose ? Mi nahisi kuna something behind,,mf kwnye kamali ya keno ile naona kabisa kuna m2 anacheza mchezo pale,,nliachaga kuicheza kabisa
 
Hapa pamekauka naona mitaji ilipotea kwa UEFA final
 
naanza kuwa na wasiwasi na World Cup kwa hizi draw draw kwenye friendly match zisizo na sababu hasahasa kwa hizi timu kubwa! bora mwezi wa nane ufike tu!
 
World cup ndo mpango mzima, ya mara ya mwisho nililamba kama €1200
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…