Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Nimeongea nao wamesema kuwa leo ndo inafikisha siku tatu. Pia wanasema kuwa kwao ilitoka toka jumatatu bank ndo wamebakia kuituma kwenye account yangu
Hapa inabidi uwe na mtaji wa backup, make unaweza kuona game ukataka kutupia mzigo hafu ndo hela haijafika, ni noma.
Maana hii biashara yetu ni kucheza na opportunities za haraka haraka.