braza ...sio meridian tu....bet365 wamempa 9.6 kabisa...... ndio ivyo yani.....wamecheza mechi 23 ...kati ya hizo ASTANA kashinda 8 aktobe kshinda 9...sare 6... astana hajawahi kushinda away mechi 17 tangu 2010..... alizoshinda zote mechi 5 kati ya 17 kashindia home kwake..... aktobe nae kati ya hizo 17 kashinda 6... kati ya hizo 3 kashinda kwake 3 kashinda kwa astana..... mechi 6...wametoa sare ...kwa aktobe zimetoka sare 5 kwa astana 1..... yaaani USHINDI WA ASTANA AKIWA AWAY DHIDI YA AKTOBE NI SARE..... TANGU 2010....