Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Benzema kapaisha penati..... La *****....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
france walipotoa 1-1 na albania nikawashangaa, ndio maana leo siku wawazia kabisaa.
Staki kuamini ureno kapata goli dakika za nyongeza na kunichania mkeka.daaaaaaaah kweli lakuvunda halina ubani
me ningependa .ss member wa jukwaa hill tuwe chama kimoja...tuangaliane wazalendo wa hili jukwaa then tupeane majukumu kila mmoja wetu kwa roho kunjufu atoe game 2 tu (naamini thread yetu ndiyo inaongozA kwA kujaza sever maana comment kila Leo na viewers wengi so ikitokea watu 5 walaus timu zao mbilmbil means timu 10 /day ) zikajadiliwa na kufanyiwa upembuz yakinifu ..yan game ichachambuliwe kulingana na uzito wake then tujadil option zitakazo tokea hata option zikiw kumi then kila MTU achukue yake imfaayo (itAtegemea uzoefu n
wa MTU mmojmmojA coz kila MTU anamawazo yake)MTU atajua achukue IPI alAf end of the macht tunaleta mrejesho... usione ufahari kusnip won ticket 1 wakat lost ticket 4 zip kwa dustbin.... t
tushare mawazo ..uchoyo na kusubiri nan kaweka mkrka nifate silently ndo mana hatufanikiwi ngooo...n mawazo ya madagadamdAshi au mtz huru. tchao
England na Italy wamenipa £90 Sasa mzigo wooote naumimina ktk game Za weekend
Haya njooeeni tuiwaze hii game ya saa 11:30 AUSTRALIAN LEAGUE

We unaota kweli
Asante mkuu. nisamehe, sinto changia tena
Haya njooeeni tuiwaze hii game ya saa 11:30 AUSTRALIAN LEAGUE