mizuno
Senior Member
- Mar 12, 2014
- 142
- 184
dah... timu ya mwisho kwenye mkeka wangu alikua Real Madrid amenitolea cap safi kabisa juzi buku tano (5000) imezaa (47800) kwenye mkeka wa mega mix niliweka buku tatu (3000) imezaa ....169,000 nimeweka timu 12 tano za uefa ,tabo za europa ba mbili za ligi ambazo ni Lyon na R madrid ambayo ndio timu pekee niliyoipa cap kesho wa kwanza kabisa naanza na CHELSEA.