gaspar kauki
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 578
- 194
Nimebakiwa na buku nimtupie nani na nani? handcap au 45min
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha ubahil...tia hapo 15000 kesho uje na jibu
Watu tupo kwenye group tayar la betters tunadiscuss kila siku 0759212578 huyo ni group admin mwambie akuad
Asali hyo
Algerian division 1
ASM oran vs ASO chlef
Tip; x/1 (half time-full time)
Mechi inaanza saa 12
GG zinatoa fresh tupunguzen kuweka win coz kwa mpira wa sasa ni risk sana
This is football, anything can happen. Hakuna alieamini Chelsea angefungwa na Bradford.
Madrid kufungwa 4-0
Macity na Man U kudraw tena kwa kutoka nyuma.
Kane kuwafunga Arsenal goal mbili na kuipa Tot ushindi.
GG zinatoa fresh tupunguzen kuweka win coz kwa mpira wa sasa ni risk sana
View attachment 225800
nimemaliza kwa leo....
jamani nimepata kitu kipya kutoka feedburner cha kumpusa muhindi hichi tunadeal na idadi ya magol ya kipindi cha kwanza na cha pili, kwa kawaida kipindi cha kwanza kinakuwa na odds 3 na points kazaa hv na pia cha kunakua na odd 2 cha kufanyakama unamtji wako unaugawa mara mbil kisha unaweka mzigo kwenye game moja lakin weka mikeka miwil mmoja 1HALF magol meng wa pil second haif magol meng
mfano una mtaji wa 20000
1 half ikikubali 3*10000=30000
2 half ikikubal 2*10000=20000
hii mbinu ni nzuri sana ila tatizo linakuja kama magoal ya kipindi cha kwanza yanakuwa sawa na kipind cha pil hivyo muda mwingine tucheze draw na 2 half hasa kwenye mechi ngumu.
kwa maelezo zaidi na mbinu za ziada google feedburner
Leo hivi :
Chelsea win
Man u. win
Man city win
Baca win
Halafu natia buku ten
leo ni hivi hizi mechi magoli yafungwe kuanzia dakika ya 28.....
west brom 28+
wigan 28+
espanyol 28+
newcastle 28+
westham 28+
besiktas 28+
odds 73
leo ni hivi hizi mechi magoli yafungwe kuanzia dakika ya 28.....
west brom 28+
wigan 28+
espanyol 28+
newcastle 28+
westham 28+
besiktas 28+
odds 73
kuna hiyo option mkuu?...yaani magoli yaanzie dk 28 kuendelea au?...chini ya dk 28 umeliwa sio?
kampuni gani?