Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

leo mbaya

haya bwana wameua
 

Attachments

  • 1426200799840.jpg
    1426200799840.jpg
    35.4 KB · Views: 189
MKEKA USIO CHANIKA
Wolfsburg V Inter 1
Napoli V Donamo 1
Zenit V Torino 1
Total odds 4.4 tupia 50,000=220,000/= bila jasho

Kitu kilisoma kabisaaa hicho......
Uoga wakk ndo umaskin wako...
Huu msemo unaish huu.......
 

[TD="class: dialogMiddleLeft"]
[/TD]
[TD="class: dialogMiddleCenter"]

1153592781085 Standard account
------------------------------------------
[8/8]
0083 12-03 21:00:00 VFL Wolfsburg-Inter
Yellow Cards(4.0) Over 1.85
1126 12-03 23:05:00 Villarreal-Sevilla
Yellow Cards(5.0) Over 1.90
1123 12-03 23:05:00 Fiorentina-Roma
Yellow Cards(4.0) Over 1.80
1124 12-03 23:05:00 Napoli-Dynamo Moscow
Yellow Cards(4.0) Over 2.05
0001 12-03 20:00:00 Zenit-Torino
Yellow Cards(4.0) Over 1.80
0036 12-03 21:00:00 Club Brugge-Besiktas
Yellow Cards(4.0) Over 1.80
0045 12-03 21:00:00 Dnipro-Ajax
Yellow Cards(4.0) Over 1.85
0087 12-03 23:05:00 Everton-Dynamo Kyiv
Yellow Cards(4.0) Over 1.80
------------------------------------------
Total: 1000.00
------------------------------------------
Max payout: 139939.70
Min payout: 139939.70
Combination count: 1
------------------------------------------
12-03 19:38:06

[/TD]
 
@yukubyusuf hivi hiyo kuangalia mkeka kama umeshinda meridian waangaliaje mkuu

ImageUploadedByJamiiForums1426230692.577626.jpgImageUploadedByJamiiForums1426230841.715939.jpg
Mkuu unaingia my account hlf unaclick Transaction kisha ikifungua ndio kuna sehem ya kuchek hapo unaset tarehe hucki ulio tengeneza mkeka kuna open yan ilio hai kuna Win yan ulio shinda na los ulio chanika. Km inavyo onekana kwenye pcha hapa
 
wadau inachukua siku ngapi kupata hela yako ukisha itoa kwenya account yako ya meridiana,maana nime withdraw toka jana hadi sasa sijapata
 
wadau inachukua siku ngapi kupata hela yako ukisha itoa kwenya account yako ya meridiana,maana nime withdraw toka jana hadi sasa sijapata

Hahaha...wakati ulipanga asubuhi upige supu.

Sijawahi shinda Meridian najua tu M Bet ndo uwanja wangu wa nyumbani, M Bet wala hujisumbui, wao wenyewe wakirefresh seva yao ile asubuhi baada ya mda kidogo unapata sms ya tigo pesa.
 
Hivi wadau hizi game za online ziko vip hizi,

Vp ile ya number haipo hapa online??
 
Ziogope kama ukoma game za online... hasa kwa timu ambazo huzifahamu

Steph curry upo sawa kbisa.....hizo zilinipotezea kma kilo hivi...yaani hela yakobinapigwa fasta sjui eti unatym mechi unajua itaisha hivo...ia ukila na kula fasta....ila kuliwa ni hrka zaidi
 
Mie meridian huwa ninabet kwakutumia old version tatizo mechi za siku husika(today) haitoi option ya moja kwa moja kama GG,draw no Bet nk ukiacha ile other bets ambayo inachukua sana muda kufunguka.. ukiende kwenye ligi husika inakupa hii option.Je kuna option yoyote kwenye football today ambapo ninaweza kuingia kwenye hii link moja kwa moja bila kuingilia kwenye ligi (ambapo hizi option zinatokea kwa juu) au other bets?
 
online tamu sana hasa kwenye kubet magoli,leo tu nisha piga elf 40 kwa muda wa masaa 2 tu.sema muda ndo unatukosa
 
Mie meridian huwa ninabet kwakutumia old version tatizo mechi za siku husika(today) haitoi option ya moja kwa moja kama GG,draw no Bet nk ukiacha ile other bets ambayo inachukua sana muda kufunguka.. ukiende kwenye ligi husika inakupa hii option.Je kuna option yoyote kwenye football today ambapo ninaweza kuingia kwenye hii link moja kwa moja bila kuingilia kwenye ligi (ambapo hizi option zinatokea kwa juu) au other bets?

Hizo option zipo na zinafunguka haraka tu unless wewe ndio una tatizo na network yako..
 
Steph curry upo sawa kbisa.....hizo zilinipotezea kma kilo hivi...yaani hela yakobinapigwa fasta sjui eti unatym mechi unajua itaisha hivo...ia ukila na kula fasta....ila kuliwa ni hrka zaidi

Online kuliwa nje nje..
 
Back
Top Bottom