Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

We kweli hamnazo,yaani akili zako kwenye Maisha umezi turn kwenye Ushirikina tuu? Au Utapeli mtandaoni,maana kila comments zako napost ni ushirikina tuuuu,sio akili hiyo,Fanyakazi,jitume sio hizo akili mgando

Hivi unaona kila anaebet ananjaa kama wewe?
Umejiunga JF 2021 which means bado Mwali,wenzio tumo humu JF kitammboo kwenye Majukwaa ya Biashara before hatujaingia kwenye Hii Forum na tulimiliki Smart phones na computers wewe ukiwa bado unavaa uniform

Watu Tuliishajipata kitamboo,tumejenga,Tunabiashara zetu na Watoto Wanasoma kwa viwango.
Tumejipanga kimaisha since betting platforms hazijasambaa.

Yaani wewe akili Yako umeiset humu ndio pa kutobolea Maisha,Angalia umri wako Dogo,acha ujuaji,jipange kabla maji ya Jioni hayajafika ukaanza kulaumu kila mtu

Huku watu Wana bet mpaka milioni kwa siku,na ikiliwa mtu wala hawazi maana watu Wana other sources of income

Yumo mtu anaitwa Matee humu yeye mkeka mmoja kutia laki mbili wala hawazi na siku anaweka mikeka zaidi ya mitatu na ikichanika ndio kwaanza kesho anatupia mwingine

Acha mipasho Njoo Chanika muda huu wa Off Day,au over weekend ila not from Monday
Shuka Kituo cha Magenge mwambie Boda akulete kwenye Bar ya IGP SIRO utanikuta,mita 400 mbele ya hiyo Bar

Tunaongeza miji naTunaandalia watoto Maisha yao
Fanyakazi kwa bidii, jipange,Acha Ushirikina au kutaka kutapeli watu kimtindo kwa Imani za Utapeli wa kishirikiana kupitia this Forum,hamna mazuzu humu

View attachment 2869518
Hongera,shida kuna watoto wa juzi humu wana dharau wanadhani kila mtu humu ni amateur..au ni jobless kama wao..
 
Wiki hii...jana almanusra...!!??
Screenshot_20240112_121140_Chrome.jpg
Screenshot_20240112_121035_Chrome.jpg
Screenshot_20240112_120728_Chrome.jpg
 
We kweli hamnazo,yaani akili zako kwenye Maisha umezi turn kwenye Ushirikina tuu? Au Utapeli mtandaoni,maana kila comments zako napost ni ushirikina tuuuu,sio akili hiyo,Fanyakazi,jitume sio hizo akili mgando

Hivi unaona kila anaebet ananjaa kama wewe?
Umejiunga JF 2021 which means bado Mwali,wenzio tumo humu JF kitammboo kwenye Majukwaa ya Biashara before hatujaingia kwenye Hii Forum na tulimiliki Smart phones na computers wewe ukiwa bado unavaa uniform

Watu Tuliishajipata kitamboo,tumejenga,Tunabiashara zetu na Watoto Wanasoma kwa viwango.
Tumejipanga kimaisha since betting platforms hazijasambaa.

Yaani wewe akili Yako umeiset humu ndio pa kutobolea Maisha,Angalia umri wako Dogo,acha ujuaji,jipange kabla maji ya Jioni hayajafika ukaanza kulaumu kila mtu

Huku watu Wana bet mpaka milioni kwa siku,na ikiliwa mtu wala hawazi maana watu Wana other sources of income

Yumo mtu anaitwa Matee humu yeye mkeka mmoja kutia laki mbili wala hawazi na siku anaweka mikeka zaidi ya mitatu na ikichanika ndio kwaanza kesho anatupia mwingine

Acha mipasho Njoo Chanika muda huu wa Off Day,au over weekend ila not from Monday
Shuka Kituo cha Magenge mwambie Boda akulete kwenye Bar ya IGP SIRO utanikuta,mita 400 mbele ya hiyo Bar

Tunaongeza miji naTunaandalia watoto Maisha yao
Fanyakazi kwa bidii, jipange,Acha Ushirikina au kutaka kutapeli watu kimtindo kwa Imani za Utapeli wa kishirikiana kupitia this Forum,hamna mazuzu humu

View attachment 2869518
safi sana....
 
Odds 2 Za Basketball Helabet. Zote za mchana huu

Booking Code: EXTXL

Jisajiri na stake hapa kupitia link hii👇

Jisajiri na stake hapa

Tumia Promocode: SASA
Na utapewa bonus ya asilimia 100 mara tu utakapoweka hela kwenye akaunti yako ya Helabet.
Screenshot_20240112-124428_1.jpg
 
Hongera,shida kuna watoto wa juzi humu wana dharau wanadhani kila mtu humu ni amateur..au ni jobless kama wao..
inaonesha wazi we na mwenzie unaemsapot akili mmewaazima watu sio?? Kabisa upo serious mende unamuua kwa boom!! Bila shaka we na mwenzako mmenijua leo sio?? Achen kujifariji kijinga baba ulipo hapo we na mwenzio hamna kaz wala hela uongo uongo ngoja nikwambie kitu mwenye kaz na pesa hawez kujibu kama kasuku tena bora kasuku anapoint ushawah msikia churaa mton tena bora churaa anapoint ushawai msikia mbu usiku no mbu anapoint bro sijui nikufananishe na nn na dalili za mtu asie na kitu makasiliko oya ukijibu unaniogopa kaa kimya nakupa onyo ukinijibu tu utaniblock sanamu huwa halina hisia wala akili na mi ndio sanamu bro mi na mbuz, mkitupeleka kusoma mbuz anafaulu mi nafeli ooh hela huna kaz huna kaz kuunga juhudi za wapumbv wenzio
 
inaonesha wazi we na mwenzie unaemsapot akili mmewaazima watu sio?? Kabisa upo serious mende unamuua kwa boom!! Bila shaka we na mwenzako mmenijua leo sio?? Achen kujifariji kijinga baba ulipo hapo we na mwenzio hamna kaz wala hela uongo uongo ngoja nikwambie kitu mwenye kaz na pesa hawez kujibu kama kasuku tena bora kasuku anapoint ushawah msikia churaa mton tena bora churaa anapoint ushawai msikia mbu usiku no mbu anapoint bro sijui nikufananishe na nn na dalili za mtu asie na kitu makasiliko oya ukijibu unaniogopa kaa kimya nakupa onyo ukinijibu tu utaniblock sanamu huwa halina hisia wala akili na mi ndio sanamu bro mi na mbuz, mkitupeleka kusoma mbuz anafaulu mi nafeli ooh hela huna kaz huna kaz kuunga juhudi za wapumbv wenzio
nimecheka sana
 
Jana nilijitoa kidogo ufaham nikazipa timu nne direct win, nikaweka 5000 ila nilitaka kuweka 50k roho ikawa inagoma goma... Nilikuwa na odds 2.8 naamka asbb nakuta nina 14k. Yaani nimezaa 9k nikajilaumu kwann sikuweka 50k yote.
Weka leo sasa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
safi sana....
safi yake nini kwahy umeona rahaaa mwenyewe kumbe hamnijui mmenijua leo ngoja nijitambulishe mimi ni yuleyule nabii wa mikeka aka mr pipa aka mtaalamu wa kuogelea kwenye kikombe naza umenipata broo kushindana na mm sawa na kushindana na kuku au mbuzi mi na mbuz ana akili mbuzi mwenzio niliumwa sana ukichaa na hata hapa na coment nipo jalalan kuna mikate ya azam wameitupa nanywea na smat gn kwahy hapa sina akili kabisa
 
Back
Top Bottom