We kweli hamnazo,yaani akili zako kwenye Maisha umezi turn kwenye Ushirikina tuu? Au Utapeli mtandaoni,maana kila comments zako napost ni ushirikina tuuuu,sio akili hiyo,Fanyakazi,jitume sio hizo akili mgando
Hivi unaona kila anaebet ananjaa kama wewe?
Umejiunga JF 2021 which means bado Mwali,wenzio tumo humu JF kitammboo kwenye Majukwaa ya Biashara before hatujaingia kwenye Hii Forum na tulimiliki Smart phones na computers wewe ukiwa bado unavaa uniform
Watu Tuliishajipata kitamboo,tumejenga,Tunabiashara zetu na Watoto Wanasoma kwa viwango.
Tumejipanga kimaisha since betting platforms hazijasambaa.
Yaani wewe akili Yako umeiset humu ndio pa kutobolea Maisha,Angalia umri wako Dogo,acha ujuaji,jipange kabla maji ya Jioni hayajafika ukaanza kulaumu kila mtu
Huku watu Wana bet mpaka milioni kwa siku,na ikiliwa mtu wala hawazi maana watu Wana other sources of income
Yumo mtu anaitwa Matee humu yeye mkeka mmoja kutia laki mbili wala hawazi na siku anaweka mikeka zaidi ya mitatu na ikichanika ndio kwaanza kesho anatupia mwingine
Acha mipasho Njoo Chanika muda huu wa Off Day,au over weekend ila not from Monday
Shuka Kituo cha Magenge mwambie Boda akulete kwenye Bar ya IGP SIRO utanikuta,mita 400 mbele ya hiyo Bar
Tunaongeza miji naTunaandalia watoto Maisha yao
Fanyakazi kwa bidii, jipange,Acha Ushirikina au kutaka kutapeli watu kimtindo kwa Imani za Utapeli wa kishirikiana kupitia this Forum,hamna mazuzu humu
View attachment 2869518