trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 758
- 1,400
UA MAN CITY
NIKOPALEEE NEW AMANI STADIUM
Kama KDB yupo hakuna namna Newcastle atatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UA MAN CITY
NIKOPALEEE NEW AMANI STADIUM
Nilimpa double chance naona bado ngumu tuKuna Jamaa kashauri kuhusu Napoli..kwakweli inaumiza saana..maana nilimpa direct win
Hata mimi mkuuKuna Jamaa kashauri kuhusu Napoli..kwakweli inaumiza saana..maana nilimpa direct win
NgojatuoneKama KDB yupo hakuna namna Newcastle atatoka
😂😂😂😂 Kanjibhai anakunywa gahawa na huku kavaa Punjabi yake anasubiri kuvuta maokoto ya siku😁Waga tunachambua vzr kweli lakini mambo yanaenda tofauti kabisa na mipango. Nb "No more betting until further notice"🚶🚶🚶
Dah! Betting ni biashara ya watu aise! Sisi tunabahatisha.Tahadhari maafisa:
Wikendi hii laliga usiziweke kwenye mkeka wowote wa kimkakati Sevilla na Real Sociadad, hao waafrika kusini wanaotengeneza na kuuza odds wamezipata odds hizo mechi mbili kinyume kabisa na ubashiri wa maafisa wengi.
Ikitokea hivyo inafaa kuziacha kabisa hizo mechi kwenye mikeka yote ya kimkakati.
😡😡😡. Mkuu we acha2 december na november imekuwa miezi mibaya sana kwangu, labda nisubiri february😂😂😂😂 Kanjibhai anakunywa gahawa na huku kavaa Punjabi yake anasubiri kuvuta maokoto ya siku😁
Akipigwa kwenye wikiendi ya October 27-29Kuna wikendi matokeo hunyooka kwelikweli, kama yalivyotabiriwa na maafisa ubashiri. Septemba 15 hadi 17 2023 ilikuwa na matokeo ya hivyo. Naamini betpawa alipigwa hizo bilioni 600 kwenye hii wikendi.
Mkuufulham sioyakufwata ov1.5 na timukubwa wakiwin 1 wakijisahau0/0Leo Kuna hela ila nadhani Chelsea na Fulham wanaweza wakawa wametukosesha mamillion kisa kutokutoa over 1.5
Haha sawaMkuufulham sioyakufwata ov1.5 na timukubwa wakiwin 1 wakijisahau0/0