Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani nyie mnaobet high stake Kuanzia laki 2 kwenda juu huu moyo mnautoa wapi jamani?..hebu nifundisheni mwenzenu Aki Jana kwa Mara ya kwanza nilibet 100k kwa single bet sikulalaa usiku mzima Niko naiwaziaa[emoji23][emoji23][emoji23] na mbaya zaidi game ilikuwa ya saa 9 usiku. Nimeamka Leo asubuhi nakuta mzigo Ila hoo hoo I suffered alot[emoji1][emoji1]. Jamani nipeni mbinu mnatumia watu wa high stake.
Inakutaka uwe na moyo wa kiume
Usiwe hunywi pombe , usiwe mmbea mmbae na pia uwe jasiri sana basi ni rahisi unaweka hata milioni alafu unatulia kama hauelewi vile .

Huku moyoni ukijiambia lolote na liwe nitapokea

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Dah!! Weekend hii nimemkosakosa Mhindi....😒
 

Attachments

  • Screenshot_20240205_110543_Chrome.jpg
    Screenshot_20240205_110543_Chrome.jpg
    50.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240205_110554_Chrome.jpg
    Screenshot_20240205_110554_Chrome.jpg
    72.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240205_110604_Chrome.jpg
    Screenshot_20240205_110604_Chrome.jpg
    48.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240205_110706_Chrome.jpg
    Screenshot_20240205_110706_Chrome.jpg
    43.7 KB · Views: 6
MECHI ZA LEO 5/2/2024

TANZANIA

Yanga vs Dodoma jiji
Matokeo: 1-0 Ft ✅✅
Yanga atashinda bila wasiwasi

MECHI ZA NJE

(1) Brendford vs Manchester city

Manchester kushinda- ndiyo
Goal over 2.5

(2)As Roma vs Cagliar calcio

As Roma kushinda- yes
Goal over 2.5

(3) Rato vallecano vs Fc Sevilla

Both to score - yes

Double chance Rato vallecano or draw

(4)Casa Pia Atletico vs Boavista Porto

Both to score - yes

Double chance -Casa or draw

by magical power
 
MECHI ZA LEO 5/2/2024

TANZANIA

Yanga vs Dodoma jiji
Matokeo:
Yanga atashinda bila wasiwasi

MECHI ZA NJE

(1) Brendford vs Manchester city

Manchester kushinda- ndiyo
Goal over 2.5

(2)As Roma vs Cagliar calcio

As Roma kushinda- yes
Goal over 2.5

(3) Rato vallecano vs Fc Sevilla

Both to score - yes

Double chance Rato vallecano or draw

(4)Casa Pia Atletico vs Boavista Porto

Both to score - yes

Double chance -Casa or draw

by magical power
Ngoja nikufuate tu ndugu yangu sasa nitafanyaje maana nikishupaza shingo yananikuta makubwa mno

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mtanikumbukakesho hapa👇

  • Man City win or over 2.5
  • As Roma win
  • Rayo Draw
  • Yanga win
  • Maccabi Haifa win/draw 1x
 
nimeitoa huko twitter (X). kuna jamaa anajiita SONKO, kaacha kubet baada ya kubutua milioni 19. zali zalina
View attachment 2894756
Atarudi tu huyo maana huko mtaani atajikuta anafanya biashara anapata faida kiduchu + usumbufu wa TRA na ma taasisi kibao, atarudi tu kwa Muhindi na akirudi ajue atarudisha hiyo 19M kwa mmiliki wa awali.
 
Atarudi tu huyo maana huko mtaani atajikuta anafanya biashara anapata faida kiduchu + usumbufu wa TRA na ma taasisi kibao, atarudi tu kwa Muhindi na akirudi ajue atarudisha hiyo 19M kwa mmiliki wa awali.
Jamaaa inaonyeshaa kaamuaa kuacha baada ya kipigo kikali kutoka kwa kanji bayiii maana amekataaa kutoa risiti au anaogopa wachawi 🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utazoea tu,wewe umeweka a single bet
Watu Wana stake high kwenye match mpaka 6.

Ila nakushauri,kwepa sana Mechi za usiku.

Unajua Usingizi ni Afya,narejea Tena na tena Usingizi ni Afya.
Otherwise unajiumiza na at age of 40s utakuwa na tatizo kubwa mnoo,la msongo wa mawazo na kukosa Usingizi kikweli,na hili hupelekea Kupunguza uwezo wa kumbukumbu kwa kiwango kikubwa mnoo
Hii hata kwa vijana wadogo,kukosa proper Usingizi basi shida ya kumbukumbu ipo.

All in Yote,utazoea tu ila punguza tension unapo stake high. Ila ni Option nzuri
Shukurani Sana boss.
 
Back
Top Bottom