Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

aiseee leo betting companies zimetuweza[emoji31], imagine , i think wasee hupanga matokeo aisee[emoji32] yani even zile matches zenye hukua sure ati zinatoka under 1.5 na hutoa even 7+[emoji24] nimelia sana, na msee kasafiri talia peke angu bedroom, au wacha nlale bedroom ya mabinti zangu[emoji24] skai peke angu takufa na presure[emoji24], indian kanila 320k today imagine[emoji24] uchawi upo
Pole J, that's how things work kwenye hii biashara kichaa. Bad day in the office
 
Leo kama nilisanuka vile maana ningetandika jamvi ilikuwa ni hatari.

Asubuhi nilikuwa nimetulia ndani kwa nje nikasikia maafisa ubashiri wakishauriana watembee na over 2.5 game ya Man City nayo waliamini itatoa, kama waliweka hali ni mbaya huko.
 
au huyu mubaba wangu kanilaani leo[emoji24], thats why everytime text , but no hajui ka nabet i know[emoji28]at least naeza sema si yeye
Tatizo lako la kwanza unaweka mikeka mingi sana kwa siku.

Mfano ukiweka mikeka mitano(5) kwa siku ukiliwa minne(4) na ukawin mmoja(1) hapo hata ile faida hautaiona.

Weka mikeka miwili tu mmoja odds 10 kwa stake kubwa, mwingine weka odds 50+ kwa stake ya kawaida hapo atleast utacheza na cash-out incase things are getting worse.

All in all huku ndani inabidi tushirikiane kutengeneza mkeka mmoja(1) au miwili(2).

Naamini kuna watu ni wataalamu wa premier league, wapo wataalamu wa bundesliga, italy serie A, hata spain league pia.

Tukipika kitu kimoja kwa kushirikiana in a long term naamini tutapiga pesa sana.

Ni mawazo tu, kazi iendelee!
 
Adui Yetu Mmoja Kesho Nayo Siku Kwa Sasa Pumzika
aiseee leo betting companies zimetuweza[emoji31], imagine , i think wasee hupanga matokeo aisee[emoji32] yani even zile matches zenye hukua sure ati zinatoka under 1.5 na hutoa even 7+[emoji24] nimelia sana, na msee kasafiri talia peke angu bedroom, au wacha nlale bedroom ya mabinti zangu[emoji24] skai peke angu takufa na presure[emoji24], indian kanila 320k today imagine[emoji24] uchawi upo
 
The power of new option
 

Attachments

  • Screenshot_20240218-010801.png
    Screenshot_20240218-010801.png
    88 KB · Views: 6
aiseee leo betting companies zimetuweza[emoji31], imagine , i think wasee hupanga matokeo aisee[emoji32] yani even zile matches zenye hukua sure ati zinatoka under 1.5 na hutoa even 7+[emoji24] nimelia sana, na msee kasafiri talia peke angu bedroom, au wacha nlale bedroom ya mabinti zangu[emoji24] skai peke angu takufa na presure[emoji24], indian kanila 320k today imagine[emoji24] uchawi upo
we laki tatu unalia wenzako juz nimeliwa m7 nasemaje nasemaje mkeka wa j moo humu ndan sitaki alie mtu nabii wenu sija lost kwahy sheherekeen afu we mudada mambo ya mume humu hatunaga mume ni huko huko mahome geloo, unatangaza una mume avata imenoga hapo kati unataka kutunyima nn ukiingia humu wote ujue kwamba humu wote hawajaoa wote wana vyeo wote wana majumba nk hakuna wa kulia lia humu afu kwanini umeingia tu humu bila kuja kanisan kwangu nikusain yakuwa ww ni muumin wangu ndan ya hili kanisa letu la mikeka win daile chin ya nabii wako mr pipa
 
Tatizo lako la kwanza unaweka mikeka mingi sana kwa siku.

Mfano ukiweka mikeka mitano(5) kwa siku ukiliwa minne(4) na ukawin mmoja(1) hapo hata ile faida hautaiona.

Weka mikeka miwili tu mmoja odds 10 kwa stake kubwa, mwingine weka odds 50+ kwa stake ya kawaida hapo atleast utacheza na cash-out incase things are getting worse.

All in all huku ndani inabidi tushirikiane kutengeneza mkeka mmoja(1) au miwili(2).

Naamini kuna watu ni wataalamu wa premier league, wapo wataalamu wa bundesliga, italy serie A, hata spain league pia.

Tukipika kitu kimoja kwa kushirikiana in a long term naamini tutapiga pesa sana.

Ni mawazo tu, kazi iendelee!
broo tupo humu saiv karne ya 21 humu hata uwe na ushilikiano na majin hutusuiii wenzako walimejalibu kila mbinu wameondoka uzi wameniachia mm na mm nikaamua kujiita nabii wa mikeka usifanye mchezo bwana kuna mwamba alikuwa humu anajiita hakosei aka jt bundi aka mjuaj wa mikeka saiv kala pause
 
Hii industry ni ngumu sana ***** yaani unatafuta pesa amabayo huna uhakika nayo ya kuipata.
 
The power of new option
Hii option babu ni moto nimetembea thirty seven team in row anakuja kunichania mpuuzi mmoja ako na shinda four goal in a row.maumivu ya betting yako makubwa kuliko ata yale ya mupenzi
I Lost one and half million per one team even the stake ilikuwa two thousands Tz shillings

Even its would be good for God and the World let's win today.and that is the power of new option

Kama ikikupendeza Mungu.basi acha tu boom at least this single weekend,i saw vijana wengi humu Jf ako na pain.our God relving out our pain
 
Asante liver puu kwa over 2.5 asante yanga kwa over 1.5 asante pia kwangu mwenyewe kwa kuweka mkeka uka win m30 kwa odd 15 hizi ni za supu na malaya namngoja aseno anipe over 0.5 na man city over 0.5 kesho win saa nne wakuu hv naweza pata hotel ya m10 kwa masaa matatu hapa tz ili nichukue chopa langu fasta nije mana mi hela yangu haitakiwi kukutana kesho ya leo namaliza leo nikiacha kesho sipati pesa afu wakuu kwa hapa bongo malaya wa m10 nampata wapi nipen location na atae nipa location nzur namnunuria cruse mpya kilometa 0.0 njoen pm tuyajenge nimetumwa kuja kula bata kujenga na maendeleo tutafanya kaburin dunia yenyewe nakaa miaka 60 miaka bilion yote kaburin yanini kujenga ya nn kuwa na mali yann kuoa ya nn kuwa na watoto yanin kulia lia umeme unakatika umeme ukikatika nunua solla watt 500 umeme mpaka chini ya uvungu mnalia lia na umeme wakati umeme wenyewe ukisimama karibu na taa unakiona kivul chako achen mi nile bata wakuu msisahau location tuendelee kubet
[emoji23][emoji23][emoji23]hii ni frustration
 
Back
Top Bottom