Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁 yaaaani hata siku mkeka ukitiki ujue hapo umeshakaa roho juu mpaka dakika 90 ya mechi. Au goli linafungwa dakika za nyongeza. Kanji anatupasua sana ndio maana akija kupasuka asapasuka kisawasawa mpaka anawakopa wakamaria😁😁Hela ya kanji ni ngumu sana, ukifanikiwa kuipata jitahidi sana kuitumia kwa heshima.
Kammmafaoooo achaa tuHela ya kanji ni ngumu sana, ukifanikiwa kuipata jitahidi sana kuitumia kwa heshima.
Young Boyz nao walaaniweMan u ulaaniwe qummke umeninyima 650000 kwa kutoka droo unashindaje dk 96 dk 99 unaruhusu goli taqo wewe.
Wanabet kaka wahun waleMan u ulaaniwe qummke umeninyima 650000 kwa kutoka droo unashindaje dk 96 dk 99 unaruhusu goli taqo wewe.
✓✓✓✓✓✓✓✓✓✓ doneSKIVE OV 2.5
STOKE GG
MXB
Haya mambo peleka fb ,hukh sio mahalj pake mwisho utakuja na link za unicef fund, na kufungua acount kibao mara unauza odd kijana rudi shule , huku hupaweziKizuri kula na ndugu yako! Mzungu amejichanya huku. Watu wanavuta mpunga tu. Watch the video to make money20240402 🎉 jiunge hapa
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Unatuharibia Uzi wetuHaya kama unView attachment 2951089a book tupia kwa hizi timu na utulize mbupu ....chill baadae utakuja kunishukuru
mwa hawa yaaani nlikuwa nasubiri yeye tuu niturbo mkeka nsingekosa laki 2 na pasaka ilikuwa unaenda kuwa njema fala wale wakanilaza naviatu.Wanabet kaka wahun wale
Betting ni stategic na sio emotion , lkn nimejifunza kanji mkaji ukiwa na shida na hela usifanye betting kwa lengo ,la kjpata hela ....tuliza kichwa utabutua tuDah! Miezi miwili mfululizo, nampa tu kanji pesa ya wanae shule 🥸
yaani kuna mitimu sjui ikoje jina kubwa lakini hmna kitu kabisa.
Ki vipi boss hebu fafanuaUnatuharibia Uzi wetu