Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Duhhhh mtihani huo

Pumzika Mdau Kamari isikufikishe hapo

Ukweli mchungu,ikifika hatua mtu unaomba Pesa iwe humu au hata mtaani au kwa ndugu na marafiki kwa lengo ucheze Kamari,hatua hiyo ni mbaya mnoooo tena mnooo

Omba sana MUNGU akutoe huko,wapo watu mpaka sasa Mishahara imeisha kwa KAMARI

Nakushauri ni bora uwe mtumwa wa Kazi zako au Biashara zako mwenyewe kisha kipato chako mwenyewe ndio utumie kucheza KAMARI

Otherwise kuna age itafika mpa familia kuiingiza ktk maisha ya dhiki na fedheha kwa ajili ya Kamari

Watu Wengi wameuza smart phones zao Ili wacheza KAMARI then Kazi ni kuazima sasa sim,na kurejesha alichouza hakuna tena.

Uraibu wa betting kila ikifika Alkhamis,Ijumaanna Jmosi ndio watu wanakuwa kama wanawazim, wenye kuuuza,kukopa,kuchukua advanced Salaries,kuomba kwa watu kwa mtizamo kwamba ni wiki ya kitoboa

Hatimae Tangu umeanza kuomba,kuuuza vitu bado nafuuu hujaiona,kujipima Ingiza kwenye Lost record slip kisha utaona mtaji mkubwa uliopotea au pesa nyingii ulioingiza then thing on other to proceed or to terminate

Tuendelee Betting but kwa malengo otherwise at ages of 30 to 40 titakataana
Wewe umepigwa ukapigika kaa kwa kutulia, hakuna mtoto wa kusoma ngonjera zako kila siku, labda kama unatafuta kuwa na post nyingi.

Kama ulikuwa unabet kizembe hiyo ni akili yako, sio kila mtu atafanya sawa na wewe. Kila mtu humu ana vyanzo vyake vya kupata hela hivyo usijilinganishe na mtu yoyote humu.
 
MIMI TENA MKINIONA NACHANGIA MADA YOYOTE YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MPIRA NDANI YA MWAKA HUU, HAKYA MAMA NARUDIA TENA NAOMBA MODS PAMOJA NA TIMU YOTE MNIREPOTI NIPIGWE BANI YA MAISHA
Mkuu kunywa maji mengi moyo uelee, Afisa kamalia jumamosi tunakuhitaji kazini, hakuna kutia huruma asee unayo siku ya kesho tu ya mapumziko.😂😂
 
Nimeamini MIUJIZA sio lazima kanisani tu ipo everywhere
Ni muda sasa wa kuchukua maamuz magumu sana
 
kwa vilio hivi nimegundua inawezekana humu wengi wanatumia ela ambazo they cant aafford to lose kubetia which is very bad, tujitahid tubet kistaarabu. Alafu kingine kuna watu wanabet kila siku, kubet kila siku= to addiction,
 
kwa vilio hivi nimegundua inawezekana humu wengi wanatumia ela ambazo they cant aafford to lose kubetia which is very bad, tujitahid tubet kistaarabu. Alafu kingine kuna watu wanabet kila siku, kubet kila siku= to addiction,
Wenye akili( Great Thinkers )ndio tutakuelewa

Hilo ndio kundi kubwa mnoo,mpaka mtu anafikka eti anaomba asaidiwe pesa humu Jamii forum Ili acheze KAMARI unategemea ataweza ki afford hata kuendesha familia,atakula mpaka Pesa ya mviga

Addiction mostly comes when you have no much do.

Ukiingia kwenye LOST SLIP then set it as grand Total of lose,aisee hapo ndio ujipime umri na kilichopotea.
Actually KAMARI sio ya kutoboa,do it for fun

Maana usipokuwa Makini utabet wewe mpaka mjukukuu🤣🤣🤣

At least two times a week to rescue a mental health
 
Back
Top Bottom