Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Anaitwa Mbise a.k.a MrDepalito..huyu jamaa ana balaa sana,ashakua sugu..akipiga mshindo anampiga haswa..na huwa analiwa pia..Nimeona twitter hukoView attachment 2969341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa Mbise a.k.a MrDepalito..huyu jamaa ana balaa sana,ashakua sugu..akipiga mshindo anampiga haswa..na huwa analiwa pia..Nimeona twitter hukoView attachment 2969341
Aliweka hiyo hapoAngeweka mkeka kabla ya Mechi🤣🤣🤣🤣
But sipingi,wapo watu wamejiripua,ukiwa na pesa mbona huwazi
Na wakipigwa wanapigwa kweli kweli
Show only winning ticketsHaya twendeni mdogo mdogoView attachment 2969542
Hiyo shida haijawahi kupatiwa ufumbuzi huko meridian. Niliachana nao kwa scenario kama hiyo. Nilipoteza 10k mara ya kwanza then nikapoteza 5k second time nikaona huu upuuzi, nikafutilia mbali app yao.Wakuu kuna kampuni miyeyusho sana,jana nimediposit hela ikanasa hewani,nkawasiliana na mtandao husika wakasema hela yako itakwenda kweli masaa mawili wakatuma meseji,nacheki huko meridian hamna kitu,parangana nao jana hadi leo bado kimya. Big up bet power au sport pesa wakipata shida wakogo shuta sana kuzitatau,hawa jamaa sijui wakoje siku hizi. Miaka kumi m ni mteja wao ila nimekereka mpaka mda huu nafuta akaunti yao.maana mwaka jana nilideposit nkafatilia nkaona kero nkaacha ila sasa no mikeka yenyewe itutese na wao watutese Acha niachane nao
Mzee acha basi unajua yupo katika mikeka mingiLeverkusen anapoteza kwa mara kwanza leo
Hela hiyo mzee tia lakiMzee acha basi unajua yupo katika mikeka mingi
Wacheki kwa Email , watakuona serious !! kule hauwasiliani na Vishanda ni Direct , ila Facebook au call ni jauWakuu kuna kampuni miyeyusho sana,jana nimediposit hela ikanasa hewani,nkawasiliana na mtandao husika wakasema hela yako itakwenda kweli masaa mawili wakatuma meseji,nacheki huko meridian hamna kitu,parangana nao jana hadi leo bado kimya. Big up bet power au sport pesa wakipata shida wakogo shuta sana kuzitatau,hawa jamaa sijui wakoje siku hizi. Miaka kumi m ni mteja wao ila nimekereka mpaka mda huu nafuta akaunti yao.maana mwaka jana nilideposit nkafatilia nkaona kero nkaacha ila sasa no mikeka yenyewe itutese na wao watutese Acha niachane nao
Wiki jana ilikuwa zamu ya Rangers, Liverkuku, na Arsenane. Wiki hii Slavia ameunga mkono juhudinimefanikiwa kupga mkeka wa game 5 so am waiting nipay via mpesa
Slavia kama Rangers tunimefanikiwa kupga mkeka wa game 5 so am waiting nipay via mpesa