betting bhana!, sijui ni nguvu mbaya isiyoonekana au pupa zako tu?. kati ya hivyo viwili, mara nyingi kimojawapo kinakutoa nje ya mstari unakuwa mtu wa kurudia makosa yaleyale unayojiapiza hutoyarudia tena. cha ajabu ukiishiwa stake unajiapiza safari hii nikidepost sileti masihara. lakini ukishadeposit tu, dharau, masihara vinakuwa palepale. siku zinakatika kimasihara kwa dharau na kupuuzia hela ndogondogo unazolost .
-dharau ya kujiamini: "nikichana leo siku za mbele nitashinda tu"
-dharau ya ukiwa na stake ya kutosha: "hata nikichana bado nitarecover loss"
-dharau ya kucheza vitu vilivyo nje ya mikakati yako. hii inakuja pale option unayotumia siku hiyo inakua na mechi chache, unaamua kujiongeza ucheze option nyingine au ukopi mikeka kutoka source ya ukweli, matokeo yake option usiyozoea kutumia inachana, au mechi uliyokopi inachana.
BETTING NI KWA MAJASIRI