Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hawa Rayo cjui baselona huwa wanawashindwa vipi kuwaingiza kwenye mfumo wao ,,,, maana kila wakikutana ni jiwe jiwe
 
Umeniingiza chaka mikeka miwili imechanika
🤣🤣🤣🤣

We umeona promo za PARIPESA ukajua pesa
Wao wanakitengeneza na promo code Ili beneficiaries wawe wao

Jina tu unaona lipo kisanii, PARIPESA ndio nini 🤣🤣🤣

Mtakataana Wenyewe kwa wenyewe

We umeona wapi kampuni inakuwa na KUWADI tena KUWADI analipwa kama kaleta Dem geto
 
oyoo nabii wa mikeka namalizia likizo nakuja wana mnaliwa sana hv hamzionei huruma hela zenu jaman kesho natoa odd 320 ya uhakika jitaidin muandae teniten mana mnaenda kuwa matajir wa kutupwa
🤣🤣🤣🤣🤣

Kiumbe kimerudo Tena

Aiseee burudani imeanza

Ila wale wapya watakuchana ila sie tuliokuzoea burudani tuuu

Comedian ktk ubora wako

At least burudani imetudi ya kuchekesha
 
Timu iko kwenye streaming ya ushindi,,,, watashinda hii mechi na wasiposhinda basi hata huu msimu ubingwa inabidi wajitafakali
At least 👏👏👏👏

Mikeka miwili imeenda mswano duhhh,mmoja nilimpa Corners over 7.5 imetoa mwishoo na goal nilimpa direct win ya over 1.5 nayo imetiki

Nasubiria Azam kesho nikamsumbie Wakala
 
Huyu jamaa ameniingiza chaka, naachana na hiyo kampuni soon Nitaanza kutupia codes za sportybet
Mkuu betting siyo rahisi kiasi hicho. Hata wachambuzi na magwiji wa michezo wanabet kila siku lakini je wanashinda kila siku? Unadhani hata mimi ninapo beti napenda hela ipotee? Katika hili jukwaa wewe jamaa umejaa lawama sana na mtazamo hasi.
Unaposema unaenda Sportybet ni kama vile huko Sportybet wanakupaga hela ya bure. Nenda tu Sportybet mwamba, tunatarajia kila siku utakuwa una post hapa Won Ticket. Uwe unapost Code zako hapa za Sportybet mwenyewe nitazichukua nitatia hela nzuri tu. Natumai tutakuwa TUNASHINDA mara 5- 7 katika wiki..
 
🤣🤣🤣🤣

We umeona promo za PARIPESA ukajua pesa
Wao wanakitengeneza na promo code Ili beneficiaries wawe wao

Jina tu
🤣🤣🤣🤣

We umeona promo za PARIPESA ukajua pesa
Wao wanakitengeneza na promo code Ili beneficiaries wawe wao

Jina tu unaona lipo kisanii, PARIPESA ndio nini 🤣🤣🤣

Mtakataana Wenyewe kwa wenyewe

We umeona wapi kampuni inakuwa na KUWADI tena KUWADI analipwa kama kaleta Dem geto
Mkuu hebu nitumie Mkeka ulio shinda Sportybet wenye odds 5 - 10 ndani ya wiki mbili zilizopita. Natumai umebet wiki iliyopita na wiki hii, nitumie kiasi cha hela ulicho shinda Sportybet.

Unapoifagilia Sportybet ni kama vile kila siku huwa unashinda Sportybet. Natumai leo nitakuwa naona won slip kutoka Sportybet.

Wewe mwenyewe ni KUWADI wa Sportybet au wewe unajionaje? Labda kama hujioni.
Mwisho elewa kuwa betting siyo rahisi kiasi hicho. Ingekuwa rahisi basi manguli wa michezo wangekuwa wanashinda kila siku laki siyo.

Lete Code za Sportybet kuanzia leo nitastake, natarajia nitashinda angalau mara 4 kwa wiki
 
Usiku wa kichawi

Live tupo 14 people

Wote Barcelona katuvuruga

Ila mkeka mmoja Mbwa huyu nimempa Corners over 7.5 nasubiria
Mkuu nasubiri ushindi mnono unaopata kila siku Sportybet. Kama Sportybet huwa unashinda hata mara 4 - 5 kwa wiki basi hiyo kampuni itakuwa inataka watu wake wafanikiwe. Mkuu shusha Code za sportybet nitaweka hela, nasubiri ushindi angalau mara 4 - 5 kwa wiki. Mimi nikishinda hata mara 3 - 4 kwa wiki kwenye sportybet itakuwa faida kubwa sana kwangu. Lete Code za sportybet zenye odds 2 - 10, watu turuke nazo na kampuni inayotaka wateja washinde Sportybet
 
Mkuu nasubiri ushindi mnono unaopata kila siku Sportybet. Kama Sportybet huwa unashinda hata mara 4 - 5 kwa wiki basi hiyo kampuni itakuwa inataka watu wake wafanikiwe. Mkuu shusha Code za sportybet nitaweka hela, nasubiri ushindi angalau mara 4 - 5 kwa wiki. Mimi nikishinda hata mara 3 - 4 kwa wiki kwenye sportybet itakuwa faida kubwa sana kwangu. Lete Code za sportybet zenye odds 2 - 10, watu turuke nazo na kampuni inayotaka wateja washinde Sportybet
Poa Mdau

Sure, at least this season sijaanza vibaya kiviile,maaana nimebadili mfumo wa mamikeka mareeefu

Just three mikekas kwa siku mbili,then na relax,hata ukichanika unakuwa haupo addictive saana na at least stake inakuwa moderate.

Ila ukifix mikeka ya winning on the same day,ukichanika then on the sane day unabet tena,aisee unaweza kukuta kwa siku unabet hata mara nne Tano,which makes you as addicted one.
Mfano this one,hapo nasubiria Azam tuu Mechi inipe over 2.5 ambapo kama first half haitotoa goal hata Moja,basi ma Cashout fastaa ku save mtaji,maana ni last match on slip ,so Cashout ipo open

Screenshot_20240828-061302.png


Narudi Mdau na optioned Codes 9 zenye odds 2-10
Nitarudi nazo kabla ya Saa Sita, nasubiria march ya Young Africans iwekwe,najua Mchana itakuwa tayari then Nita kutagg
 
Poa Mdau

Sure, at least this season sijaanza vibaya kiviile,maaana nimebadili mfumo wa mamikeka mareeefu

Just three mikekas kwa siku mbili,then na relax,hata ukichanika unakuwa haupo addictive saana na at least stake inakuwa moderate.

Ila ukifix mikeka ya winning on the same day,ukichanika then on the sane day unabet tena,aisee unaweza kukuta kwa siku unabet hata mara nne Tano,which makes you as addicted one.
Mfano this one,hapo nasubiria Azam tuu Mechi inipe over 2.5 ambapo kama first half haitotoa goal hata Moja,basi ma Cashout fastaa ku save mtaji,maana ni last match on slip ,so Cashout ipo open

View attachment 3081092

Narudi Mdau na optioned Codes 9 zenye odds 2-10
Nitarudi nazo kabla ya Saa Sita, nasubiria march ya Young Africans iwekwe,najua Mchana itakuwa tayari then Nita kutagg
Sasa lengo la kuifagilia Sportybet kuwa huko ni bora kuliko kwa mrusi ni lipi ikiwa kila siku hupati hata 50000? Mimi nimekuuliza mara ya mwisho umeshinda lini odds 5 - 10 kwenye hiyo Sportybet yako? Ukuwadi na unazi wa Sportybet tu unakusumbua. Haya mwenzako leo ni kwa siku ya tano naingiza faida ya 60000+ kwa mtaji wa 100000 tu huko huko PARIPESA. Tazama faida ya jana👇
Screenshot_20240828-062420_1.jpg
 
Screenshot_20240828-062420_1.jpg

FAIDA YA 86000 ILITENGENEZWA JANA KWA MTAJI WA 100000 KWENYE PARIPESA.

Kama upo tayari kutengeneza leo faida ya kuanzia 50000+ kwa mtaji wa 100000, basi Jisajili PARIPESA na Deposit Hapa👇

PariPesa

PariPesa

Promo Code weka👉 TIPS2424

Deposit 100000 Kwenye Akaunti Yako Kisha Subiri Code.
 
Mkuu betting siyo rahisi kiasi hicho. Hata wachambuzi na magwiji wa michezo wanabet kila siku lakini je wanashinda kila siku? Unadhani hata mimi ninapo beti napenda hela ipotee? Katika hili jukwaa wewe jamaa umejaa lawama sana na mtazamo hasi.
Unaposema unaenda Sportybet ni kama vile huko Sportybet wanakupaga hela ya bure. Nenda tu Sportybet mwamba, tunatarajia kila siku utakuwa una post hapa Won Ticket. Uwe unapost Code zako hapa za Sportybet mwenyewe nitazichukua nitatia hela nzuri tu. Natumai tutakuwa TUNASHINDA mara 5- 7 katika wiki..
Oya ndio uniandikie gazetii??
 
Back
Top Bottom