Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam namuogopa kama Leipzig[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee sio kujifanya mzeee wa magoli mengi
Mie nimejazia na Azam win or draw
Lost mainiHivi kwa tunaotumia Sportybet, hii game ya galatasalay nilimpa win, katoa draw ila mkeka bado unasoma ,hii ikoje wadau
Hivi kwa tunaotumia Sportybet, hii game ya galatasalay nilimpa win, katoa draw ila mkeka bado unasoma ,hii ikoje wadau
Hizo ni error ndogo ndogo ingawa kuna wakati nao wana akili yao, kuna siku team ilikuwa inaongozwa mbili lkn odd ipo 2+ 2H nikaweka 30000 kwenye live bet ila mwisho ilipigwa 3 - 2.Hivi kwa tunaotumia Sportybet, hii game ya galatasalay nilimpa win, katoa draw ila mkeka bado unasoma ,hii ikoje wadau
Flashsave imeokoa mkeka., system ilishaweka win wakati game haijaisha kwa sababu uwezekano wa madogo kuchomoa ulikua ni mdogo sana.Hivi kwa tunaotumia Sportybet, hii game ya galatasalay nilimpa win, katoa draw ila mkeka bado unasoma ,hii ikoje wadau
Galatasaray kachana sio poa.Huyo hajui kubet,kwa mtaji mkubwa hivyo bora angeipa leipzig na galatasary atulie
Sio error ni huduma mpya jamaa wamekuja nayo, soma chini ya game ya galataray utaona kuna maneno yanasema flashsave defended your betHizo ni error ndogo ndogo ingawa kuna wakati nao wana akili yao, kuna siku team ilikuwa inaongozwa mbili lkn odd ipo 2+ 2H nikaweka 30000 kwenye live bet ila mwisho ilipigwa 3 - 2.
direct win ni bora utumie sportybet,Galatasaray kumbe ni ma kuski hivi,, mmk [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Thanks Mkuu, Sportybet wapewe maua yaoFlashsave imeokoa mkeka., system ilishaweka win wakati game haijaisha kwa sababu uwezekano wa madogo kuchomoa ulikua ni mdogo sana.
Flash save maana yake option uliyotabiri kama tayari inaelekea kutoa yaani kuna uwezekano mdogo sana wa matokeo kuja tofauti system inakuwekea tiki mfano leo galatasaray alikua anaongoza 3-0 hakuna ambaye angeweza kufikiri kwamba izo goli zitarudi kwaiyo system ikaweka win maana yake kwenye mkeka hapo ushamalizana na mhindi uko mbeleni hata meza ikipinduka wewe haiathiri mkeka wako. Nafikiri hii ni huduma mpya sportybet wamekuja nayo.
flashwin hiyo!Hivi kwa tunaotumia Sportybet, hii game ya galatasalay nilimpa win, katoa draw ila mkeka bado unasoma ,hii ikoje wadau
P Diddy huyu wa JF au wa Marekani? 😀Barcelona wanakatwa na P didy 😡😡
Wa Marekani yule mpaka mafuta wanaume 😡P Diddy huyu wa JF au wa Marekani? 😀
Chuma 2 tayari chapu tu yani, acha tuone nimemuomba goli mojaBarcelona wanakatwa na P didy [emoji35][emoji35]