Arsenal kapigwa moja tayari bora achangamke sasa atupie na yeyeBayern Leverkusen
Dortmund
Arsenal
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arsenal kapigwa moja tayari bora achangamke sasa atupie na yeyeBayern Leverkusen
Dortmund
Arsenal
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hawa nawapaga goli mbili tu wanatoa mapema sanaLevekusen anaondoka na kijiji[emoji3]
Achangamke sasaAseno kasha tekenywa kimoja huko
Kachomoa chapAchangamke sasa
🤣🤣🤣🤣 atafanyeje sasaArsenal kaona kushinda isiwe tabu anaongozwa yeye sasa😀
Kqshachomoa🤣🤣🤣🤣 atafanyeje sasa
angalau Wametoa GG niliyo isubrKqshachomoa
Mi niliweka kipindi cha pili zitoke goli mbili so hapo hata wakifungwa watajua wenyewe😀 japo kapata la pili mda huuangalau Wametoa GG niliyo isubr
Kamali ni burudani yafaa kufanya kwa kiasiSijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.
Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .
Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.
Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.
Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Unafataje odd ndogo vileLevekusen anaondoka na kijiji😀
Mi niliweka 3+ so kwangu wala sikuwazaKamali ni burudani yafaa kufanya kwa kiasi
Unafataje odd ndogo vile
wacha tuon kipnd cha piliMagoli yanakuja yanayeyuka tu daah
Walipata mawili moja lilikataliwa na lingine ni missed penalty.Everton na mwenzie naon kmy magoli..