Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaaaa,nimeshangaa sana kumuona huku huyo mmama,yaan imekuwaje kafungua huu uziNjaa kali...chezea mjalaana samia 😁😁 naye kaja huku kupata mawahiza ya kusuka mikeka.
Kitu ambacho huwa siwez kujaribu ni kucheza correct scoreNimemnyanyasa Mhindi. Sometimes huwa najilipua kwa correct score (nategeshea matokeo matatu, 3-2, 2-3 na 2-2), hasa kwa timuambazo hazipishani kwa viwango maana odds huwa kama zote, hapo zilikuwa odds 80 mechi moja 😀
View attachment 3120448
View attachment 3120449
Kitu ambacho huwa siwez kujaribu ni kucheza correct scoreNimemnyanyasa Mhindi. Sometimes huwa najilipua kwa correct score (nategeshea matokeo matatu, 3-2, 2-3 na 2-2), hasa kwa timuambazo hazipishani kwa viwango maana odds huwa kama zote, hapo zilikuwa odds 80 mechi moja 😀
View attachment 3120448
View attachment 3120449
Nadhani mods wameamisha Uzi huku nadhani utakuwa unahusu betting kwaiyo na comment zenu zote na mtoa Uzi zinaonekana HukuHahahahahaaaaa,nimeshangaa sana kumuona huku huyo mmama,yaan imekuwaje kafungua huu uzi
AsanteD964BB9 sportybet leo na kesho
Weka mzigo piga dua, kesho usiku tulale vizuriAsante
Nliwahi kaka blessUliwai ? Home odds 4.10 na home handicap ya 0-1 odds 10 [emoji16][emoji16]
Kabisa yan ,kuna hiyo correct score na kumpa team draw mazimaKitu ambacho huwa siwez kujaribu ni kucheza correct score
Tz nampa handicap ya 3 ashinde odds 1.14Kumekuchaaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1241][emoji1241]
Sasa 3 naaanza kuzimwaga Codes kama 15 hivi,then uta edit au ku add, au place as it is
Dongoo tu
TANZANIA vs DRC CONGO over 1.5 with no doubt