Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kudadadeki wanajf,
Siku ya leo sitakaa niisahau kwenye Maisha yangu ahera na dunia.
Nimepoteza hela yote 8 mil kwenye huu upumbavu

Ilaaniwe aviator alaaniwe mama wa aviator na wote wanaomiliki huu mchezo

Bila kupepesa macho mimi ni mtu mshenzi na fala Sana sipo smart hela yote imeenda .
Yaani leo mjenzi kapatikanika kwenye mti ,nimepata somo zito mno na lenye maumivu zaidi ya kifo

Naenda kuanza 1 kwa upumbavu wangu ,kweli kamari ni kutafuta umaskini kwa nguvu.

NILIKUWA NAOMBA KWA MUDA WAKO SHUSHA TUSI KUBWA KUHUSU UPUMBAVU WANGU!!

naniliu hapa sina mbele wala nyuma
Pambafu

Kuna siku niliingia nikawa nakiangalia kidenge naona kinaruka hata hakifiki odds ya 5 yaan karibia mara nne kinaishia 1.2 odds nikaona huu ni ujinga nikatoka chap
 
Naomba kujua kama kuna mtu ana mawasiliano na hawa Paripesa anipe jamani.
Tangu tarehe 5 mpk leo pesa imeng'ang'ania kwao kwa sababu gani jamani?
 
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.

Wewe unaufata mwongozo wa Qur'an?
Bibi yetu nini kimekuleta huku..asiyehusika huku Na atoke..Ajuza wetu tunakuheshimu
Njaa kali...chezea mjalaana samia 😁😁 naye kaja huku kupata mawahiza ya kusuka mikeka.
 
KUNA KANUNI MPYA NIMEIGUNDUA KUHUSU MECHI ZA JAPAN AU CHINA MAANA UWA NI TATA SANA KUBETIA HIZO NCHI ....KANUNI INASEMA KWA NCHI KAMA HIZO UNAPO TAKA KUZIBETIA BASI ZIBETIE ZIKIWA LIVE TENA ZIBETIE KIPINDI CHA PILI ...tumia kipindi cha kwanza kusoma mchezo kisha cha pili ndiyo ufanye bet
 
Kudadadeki wanajf,
Siku ya leo sitakaa niisahau kwenye Maisha yangu ahera na dunia.
Nimepoteza hela yote 8 mil kwenye huu upumbavu

Ilaaniwe aviator alaaniwe mama wa aviator na wote wanaomiliki huu mchezo

Bila kupepesa macho mimi ni mtu mshenzi na fala Sana sipo smart hela yote imeenda .
Yaani leo mjenzi kapatikanika kwenye mti ,nimepata somo zito mno na lenye maumivu zaidi ya kifo

Naenda kuanza 1 kwa upumbavu wangu ,kweli kamari ni kutafuta umaskini kwa nguvu.

NILIKUWA NAOMBA KWA MUDA WAKO SHUSHA TUSI KUBWA KUHUSU UPUMBAVU WANGU!!

naniliu hapa sina mbele wala nyuma
Utapata nyingine
 
5mui6i.jpg

BET OF THE DAY ON PARIPESA ⚽

📌 Bet On PARIPESA. If Not on PARIPESA? Register 👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

Booking Code: 4G4GG

📌 Get Free 280000 When You Register On PARIPESA And Use Promo Code TIPS2424 And Making First Deposit.
 
Kampuni gani ina option ya who wins the rest of the match?
Kama ilivyokuwa kwa princessbet?
 
Leo sija beti kabisa nikajaribu huu tu imetoa 💥
 

Attachments

  • Screenshot_20241009-180109_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241009-180109_SportyBet.jpg
    142.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom