Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA::: NINI KIMETOKEA 888STARZ HAIKUBALI KU DEPOSIT HELA????😔😔😔😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri zikianza ndiyo fanya upembuzi yakinifu baada ya dk 15 hadi 25 za kipindi cha kwanza ...kama unabeti mechi za kutia pesa ndefu hiyo ndiyo kanuni mimi sijui chochote kuhusu mpira wa miguu ila nabet ndiyo maana timu zozote mimi nabetia ...kuna loop hole ambazo hata makampuni ya bet huwa awazitegemei vinakuja kujulikana baada ya mpira kuwa live ..unakuta timu imepew odds ndogo ila kwenye live inashambuliwa kwa asilimia 75% mara nyingi loop hole hizi utokea kwenye mechi za nchi na nchiWakuu natafuta odds 2 kuna gemu znaanaza saa 9 dk 45
Tumia wakala yupo fasta.NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA::: NINI KIMETOKEA 888STARZ HAIKUBALI KU DEPOSIT HELA????
mkuu hawakurudishii pesa bali wanakupa free bet alafu sio odd 0.06 ulizotaja kuwa wana odds maalum ni 1.35 ndo unahaki ya kupewa hiyo freebetKama ni hivyo kweli basi ....wamejichanganya siku akitokea mtu mwenye akili wenyewe watafuta hiyo kanuni kwenye kampuni zao mfano mechi 5 wewe unacheza odds 1.06 mechi 4 na moja unacheza ngumu kumeza kama ya handicap home win 0-3 hapo odds zinaweza kuwa kama 10 hivi unatia sh 5000 ...hiyo mechi ikichana zingine zinakuwa zime win hivyo pesa yako inabaki salama inakuwa kama kanji kakupa kubeti bure ila ukila unapata pesa ....tumieni akili
Hata hiyo 1.35 siyo mbaya sana una weka na moja ngumu kumezamkuu hawakurudishii pesa bali wanakupa free bet alafu sio odd 0.06 ulizotaja kuwa wana odds maalum ni 1.35 ndo unahaki ya kupewa hiyo freebet
Pole I feel maumivu yakoKudadadeki wanajf,
Siku ya leo sitakaa niisahau kwenye Maisha yangu ahera na dunia.
Nimepoteza hela yote 8 mil kwenye huu useng**
Ilaaniwe aviator alaaniwe mama wa aviator na wote wanaomiliki huu mchezo
Bila kupepesa macho mimi ni mtu mshenzi na fala Sana sipo smart hela yote imeenda .
Yaani leo mjenzi kapatikanika kwenye mti ,nimepata somo zito mno na lenye maumivu zaidi ya kifo
Naenda kuanza 1 kwa upumbavu wangu ,kweli kamari ni kutafuta umaskini kwa nguvu.
NILIKUWA NAOMBA KWA MUDA WAKO SHUSHA TUSI KUBWA KUHUSU UPUMBAVU WANGU!!
naniliu hapa sina mbele wala nyuma
Yaani mimi ni fala sanaPole sana ila utajua wewe. Unaambiwa weka hapa pesa hichi kindege kitapaa iongezeke na wewe unaweka.
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.Kudadadeki wanajf,
Siku ya leo sitakaa niisahau kwenye Maisha yangu ahera na dunia.
Nimepoteza hela yote 8 mil kwenye huu useng**
Ilaaniwe aviator alaaniwe mama wa aviator na wote wanaomiliki huu mchezo
Bila kupepesa macho mimi ni mtu mshenzi na fala Sana sipo smart hela yote imeenda .
Yaani leo mjenzi kapatikanika kwenye mti ,nimepata somo zito mno na lenye maumivu zaidi ya kifo
Naenda kuanza 1 kwa upumbavu wangu ,kweli kamari ni kutafuta umaskini kwa nguvu.
NILIKUWA NAOMBA KWA MUDA WAKO SHUSHA TUSI KUBWA KUHUSU UPUMBAVU WANGU!!
naniliu hapa sina mbele wala nyuma