Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Screenshot_20241013_141638_SportyBet.jpg
 
afu team zinazo cheza usku kwanzia saa 8 usik ni kama zinamantiki ivi maan nimejarib kuchez nazo wiki hiii kwanzia jumatano na zote zilikuw zinatik kasoro jana usiku wa kuamkia leo. na odds za nying kuzipangilia zilikiwa odds 8 lakn the rest zilikiw odds 2+ na 1.8 sana wacha nitest tena wiki ijayo maan na iliyo chana kuamkia leo ni team moja tu. na mkek ulikiw na odds 10
 
Ikiwa kuna timu tena kubwa zilizowahi kupata adhabu na mamlaka husika kwa ajili ya kupanga matokeo inatubidi tuamini tu kwamba hiyo biashara haramu ipo.

Kuna mchezaji hapo England alikamatwa na mikeka kibao tena amebetia mpaka mechi anayocheza yeye. Sasa mchezaji kama huyu ukibeti uhalisia tofauti na alivyobeti yeye ndio uhalisia na upangaji matokeo.

Wewe unabeti kadi za njano zitoke under 3.5 first half, yeye anamtafuta refa atoe over 3.5 kwa hiari au kwa lazima na zinatoka kweli.
Watu hawafanyi research Mkuu,
Mimi pia nilikua nikikataa kua zipo. Siku moja kuna mkenya alinipa fixed UEFA, tena robo fainali na zilikua mechi mbili.

Zote correct score na zilitoa. Sema sababu alishanipa before na hazikutoa bas hata hizi za mara ya pili nilizipotezea.

Imepita miaka kama 7 au 8 hivi.
 
Hii kitu mbona nashindwaga kukielewa ...ni gift ya namna gani unafanyaje
 

Attachments

  • Screenshot_20241013-191757_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241013-191757_SportyBet.jpg
    158.2 KB · Views: 4
SPORTYBET ODDS 1800 VERY POSITIVE EDIT SASA NAANZA KUSUKA MATRENI YA KUMBANA MBAVU KANJI

7021EE0
 
ODDS 294 VERY POSITIVE EDIT ZERO STRESS 😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥 huu pesa anzeni kuedit kutoka huu mkeka .

CE4935B
 
Back
Top Bottom