Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh alikuwa 1-1 Hadi dk ya 90+1 Malaya yule so akachomoa 2-1Halafu kashinda
Spurs I beg you do something please
Mnaocheki game vipi lkn mwelekeoYaani huyu akitoa bao watu tunalala vizuri
Haki ya mama amebaki pekeake nichukue 772kInaonekana huyu Tottenham nae mpuuzi tu
Dah,ashinde tuYaani huyu akitoa bao watu tunalala vizuri
Team za italy znatoa sana kadiUEFA:-
Ukikuta Corners over 6?5 pita nayoooo zimenitoa saaaana
Pia ukikuta bookings over 2.5 pita nayoooo,pia zimenitoa saaana
Mwanzo waliweka nyingi baada ya kuwa zinamtoa wakapunguza matches
Leo nimeona matches mbili Zina corners over 6.5
Pia match Moja ina bookings over 2.5
Team za italy znatoa sana kadiUEFA:-
Ukikuta Corners over 6?5 pita nayoooo zimenitoa saaaana
Pia ukikuta bookings over 2.5 pita nayoooo,pia zimenitoa saaana
Mwanzo waliweka nyingi baada ya kuwa zinamtoa wakapunguza matches
Leo nimeona matches mbili Zina corners over 6.5
Pia match Moja ina bookings over 2.5
Haki ya mama amebaki pekeake nichukue 772k
Huyu pyramid kapita na mkeka wa tren wangu nlimpa mazimaBado nina mikeka mitatu inapumua,
Ila kuna mmoja Pyramids alitaka kuuchana.
Nilimpa ushind au draw.
Ila dk 90 naona 2-2.
Ila alitanguliwa 2-1 dk 84 hv.
Aaagh nikammind kinoma
Na wewe unamwamini man u leo kichapo anapewaMan u huku kama kawaida 1 1
Anachomesha..Lyon ashinde hata nirudishe mtaji wangu leo
Lyon wapuuzi, Attempt zaidi ya 30 hana goli hata 1? Hawapo seriousAnachomesha..
Dah nami kwenye mkeka wa kukuza mtaji alikuwepo , anachanaLyon wapuuzi, Attempt zaidi ya 30 hana goli hata 1? Hawapo serious