Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutajie account ya huyo tipster tumwangalie wote. siyo unamwangalia peke yako tuView attachment 3146529tangu jana kazi ilipostiwa mtabakia kudema tu onhooo edit 🤔 🤔 hapo bado haijasahihishwa ila ikichanika poa ila aidea ipoo💯💯💯💪💪💪
Ukisikia “Ukikaa nchale...... ukisamama nchale” ndio hii sasa 😂Hivi kati ya
Kumyima Tabora goli
Au
Kumpa Yanga over 1.5
Ipi angalau inatia matumaini ya kutoa?
Yani option zote zimechana, ilibidi nimuwai al ahly nikamfata mazima single bet angalau kanipunguzia machungu ya yangaUkisikia “Ukikaa nchale...... ukisamama nchale” ndio hii sasa [emoji23]
Ile ilikuwa editing bhana,,,, we mtetee ujuavyo,,,,, majibu umeyapata hapaView attachment 3146529tangu jana kazi ilipostiwa mtabakia kudema tu onhooo edit 🤔 🤔 hapo bado haijasahihishwa ila ikichanika poa ila aidea ipoo💯💯💯💪💪💪
🤣🤣🤣🤣Ila mzize nina mkosi naye sana aisee
Magoli yake ya jioni hayajawahi niacha salama dah
Elewa kuwa wakienda mapumziko na wakafanya sub,umelost maana inahesabika kuwa ni half ya kwanza,ila kila la heri.97.9%
Mkuu kumbuka kuwa kuna namna wanazi double hizo odds,mfano ukisuka mkeka wa odds 70 then ukaongeza timu moja yenye odds ata 1:50 utaona 0dds zako 70 zimepanda mpk 150 au ata 200.mkuu uliishia la nne C au?
odd 27 kwa laki moja unapata ten milion?
Kinachoongelewa ni hiyo mechi Moja ya yanga.Mkuu kumbuka kuwa kuna namna wanazi double hizo odds,mfano ukisuka mkeka wa odds 70 then ukaongeza timu moja yenye odds ata 1:50 utaona 0dds zako 70 zimepanda mpk 150 au ata 200.
MnaziangLizia wapi zile video? Kuna mtu anataka hapa.Acha niiungie bando tu la kuangalizia zile videos 400+ nimeumizwa sana na haya matokeo 😑😑
View attachment 3146384