Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kampuni yoyote ambayo ni clone ya 1xbet ni MAJAMBAZI
22bet
Helabet
BetWinner
Megapari
Paripesa
888Staz

Hizi kampuni ukiachilia mbali usumbufu wa kuweka na kutoa lakini siku ukiwaotea parefu SAHAU kuhusu kulipwa hela zako
Ukisha ona unaanza kuambiwa tuma email kwenye security team kwaajili ya KYC ujue shughuli unayo.....

Usidanganyike na DEMO ACC za wapiga debe, wao wanapata chao ukijisajili na kuweka hela lakini yatakayo kukuta mbeleni utajua mwenyewe

So make sure kama unatumia hizi kampuni basi zitumie at your own risk

Hapo walisajiliwa Tz ni Betwinner na Helabet lakini hawawezi kufika mbali watafungiwa soon kama 22bet sababu ya ubabaifu na uhuni wao

Tafuta contact za Bodi uwasiliane nao kama ni Betwinner na Helabet
Hao wengine bodi haiwatambui
Sportbety vp kiongozi
 
Hivi handicap ya 1+ si ni sawa na dc ama mimi ndo sielewi
Ndio zote umemlinda maana kama walitoka draw 0-0 ukawa umemtoa DC 1x au 2x hapo fureshii, pia hand cup 1+ umemtoa goli walitoka 0-0 itahesabika 1-0 au 0-1 fureshii yani,
 
Nimefanya miamala mitatu tangu jana mpaka sasa haijafika SportyBet na TigoPesa salio limepungua, nikiwapigia Tigo wananambia nisubiri 24hrs, nikiwapigia SportyBet wananambia masaa 6, wtf.!!!!!!
 
Nimefanya miamala mitatu tangu jana mpaka sasa haijafika SportyBet na TigoPesa salio limepungua, nikiwapigia Tigo wananambia nisubiri 24hrs, nikiwapigia SportyBet wananambia masaa 6, wtf.!!!!!!
Walishatoa taharifa kuwa wana tatizo kwenye Yas yao,kuwa mpole tu.
 
Kampuni yoyote ambayo ni clone ya 1xbet ni MAJAMBAZI
22bet
Helabet
BetWinner
Megapari
Paripesa
888Staz

Hizi kampuni ukiachilia mbali usumbufu wa kuweka na kutoa lakini siku ukiwaotea parefu SAHAU kuhusu kulipwa hela zako
Ukisha ona unaanza kuambiwa tuma email kwenye security team kwaajili ya KYC ujue shughuli unayo.....

Usidanganyike na DEMO ACC za wapiga debe, wao wanapata chao ukijisajili na kuweka hela lakini yatakayo kukuta mbeleni utajua mwenyewe

So make sure kama unatumia hizi kampuni basi zitumie at your own risk

Hapo walisajiliwa Tz ni Betwinner na Helabet lakini hawawezi kufika mbali watafungiwa soon kama 22bet sababu ya ubabaifu na uhuni wao

Tafuta contact za Bodi uwasiliane nao kama ni Betwinner na Helabet
Hao wengine bodi haiwatambui
[/QUOTE
Kampuni yoyote ambayo ni clone ya 1xbet ni MAJAMBAZI
22bet
Helabet
BetWinner
Megapari
Paripesa
888Staz

Hizi kampuni ukiachilia mbali usumbufu wa kuweka na kutoa lakini siku ukiwaotea parefu SAHAU kuhusu kulipwa hela zako
Ukisha ona unaanza kuambiwa tuma email kwenye security team kwaajili ya KYC ujue shughuli unayo.....

Usidanganyike na DEMO ACC za wapiga debe, wao wanapata chao ukijisajili na kuweka hela lakini yatakayo kukuta mbeleni utajua mwenyewe

So make sure kama unatumia hizi kampuni basi zitumie at your own risk

Hapo walisajiliwa Tz ni Betwinner na Helabet lakini hawawezi kufika mbali watafungiwa soon kama 22bet sababu ya ubabaifu na uhuni wao

Tafuta contact za Bodi uwasiliane nao kama ni Betwinner na Helabet
Hao wengine bodi haiwatambui
Kwahiyo unashauri kampuni zipi ni nzuri zaidi? Binafsi natumia Sportybet lakin mechi zingine hawaweki, mfano za NBC za leo hawajaweka
 
Changamoto kubwa ya kampuni za kueleweka ni game chache, machaguo machache ila uhakika wa hela yako ni 100%
Sportybet wanajitahidi angalau

Kampuni za mrusi zipo vizuri kwenye idara zote kasoro kuweka na kutoa
 
Kampuni yoyote ambayo ni clone ya 1xbet ni MAJAMBAZI
22bet
Helabet
BetWinner
Megapari
Paripesa
888Staz

Hizi kampuni ukiachilia mbali usumbufu wa kuweka na kutoa lakini siku ukiwaotea parefu SAHAU kuhusu kulipwa hela zako
Ukisha ona unaanza kuambiwa tuma email kwenye security team kwaajili ya KYC ujue shughuli unayo.....

Usidanganyike na DEMO ACC za wapiga debe, wao wanapata chao ukijisajili na kuweka hela lakini yatakayo kukuta mbeleni utajua mwenyewe

So make sure kama unatumia hizi kampuni basi zitumie at your own risk

Hapo walisajiliwa Tz ni Betwinner na Helabet lakini hawawezi kufika mbali watafungiwa soon kama 22bet sababu ya ubabaifu na uhuni wao

Tafuta contact za Bodi uwasiliane nao kama ni Betwinner na Helabet
Hao wengine bodi haiwatambui
BETWINNER mtoe hapo
 
Changamoto kubwa ya kampuni za kueleweka ni game chache, machaguo machache ila uhakika wa hela yako ni 100%
Sportybet wanajitahidi angalau

Kampuni za mrusi zipo vizuri kwenye idara zote kasoro kuweka na kutoa
Kama sportpesa kuweka na kutoa ni kugusa tu ila option sasa ndo tatizo
 
Kampuni yoyote ambayo ni clone ya 1xbet ni MAJAMBAZI
22bet
Helabet
BetWinner
Megapari
Paripesa
888Staz

Hizi kampuni ukiachilia mbali usumbufu wa kuweka na kutoa lakini siku ukiwaotea parefu SAHAU kuhusu kulipwa hela zako
Ukisha ona unaanza kuambiwa tuma email kwenye security team kwaajili ya KYC ujue shughuli unayo.....

Usidanganyike na DEMO ACC za wapiga debe, wao wanapata chao ukijisajili na kuweka hela lakini yatakayo kukuta mbeleni utajua mwenyewe

So make sure kama unatumia hizi kampuni basi zitumie at your own risk

Hapo walisajiliwa Tz ni Betwinner na Helabet lakini hawawezi kufika mbali watafungiwa soon kama 22bet sababu ya ubabaifu na uhuni wao

Tafuta contact za Bodi uwasiliane nao kama ni Betwinner na Helabet
Hao wengine bodi haiwatambui
Kabisa mkuu, kama hao 1xbet sina hamu nao nilishinda.milioni nne kuitoa ikawa nongwa, waliniomba passport bahati nzuri ninayo nikaipiga picha nikawatumia lakini bado mlolongo ukawa mrefu.
 
-us3spq.jpg

Code>>> AVEQX

Tumia Promo Code 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒 Upate Bonus Ya 𝟑𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎 Ukijiunga Na Ukideposit .

Jisajili PariPesa Hapa 👇

cutt.ly/hwKXFbXz

cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒
 
Back
Top Bottom