Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Yaan hujui betting afu ukastake hela yote hiyo 20,000

Haya hao m-bet wana machaguo machache afu kulipa hela kama mechi zinaisha usiku malipo ni mpaka kesho yake saa 4 ila kampuni zingine malipo yake ni pale pale,kuna watu huwa tunatengeneza mkeka tukiwa bar unawin na unadraw muda huo huo unalipa hela ya watu

Machaguo ya m-bet yapo yapo kama 11 ambayo ni NORMAL,DOUBLE CHANCE,ODD EVEN GOALS,OVER,HANDCAP YA 1+,nk

Lakin kampuni zingine kama sportybet mechi moja unakuta ina machaguo mpaka 100 na kitu,yaan kuna NORMAL,DOUBLE CHANCE,ODD EVEN GOALS,OVER,HANDCAP za kutosha,CORNER, bado wana combine machaguo mfano over na double chance

Lakin hiz kampuni zenye machaguo mengi zina mashetani makali sana huku kupoteza mkeka ni kawaida
Ila Mbet waduanzi, sema wana wateja wao hasa walioanza nao na ambao hawana mambo mengi, mie nilikuwa nawatumia zamani
 
a2jem3.jpg

ACCUMULATOR OF THE DAY

Code👉 97RJH

Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 300,000 Ukijiunga Na Kudeposit.

Jisajili PariPesa Hapa 👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: TIPS2424
 
Huyu itakua alidanganywa ni fixed games mimi sijawai kubet draw wala sitawai
Draw watu wanabet kama kuna mtaji wa kutosha hata ukikosa usilie, tena hapo umempiga kanji ndo unajifanya kucheza draw lakini sio hivi hivi (mie sana sana draw nikicheza huwa first half
 
jamani watumiaji wa Airtel mnatumia vpn gani kufungua Telegram? kwangu hakuna kitu
cc engineer Chief-Mkwawa
@mwl_rct
Download Thunder Vpn toka playstore

Ama

Download Tor Browser, hii ni browser kama ilivyo Chrome, Opera,Phoenix browser na nyinginezo lakini Ni POWERFUL BROWSER! (Road to dark web).... hii iko na vpn ndani yake,

ukiwa unatumia Tor browser huhitaji kuwa na Vpn yoyote, Site zote zilizofungiwa Tanzania na duniani kote hapa unazipata wazi kabisa kama kinyeo cha ngiri!
 
Download Thunder Vpn toka playstore

Ama

Download Tor Browser, hii ni browser kama ilivyo Chrome, Opera,Phoenix browser na nyinginezo lakini Ni POWERFUL BROWSER! (Road to dark web).... hii iko na vpn ndani yake,

ukiwa unatumia Tor browser huhitaji kuwa na Vpn yoyote, Site zote zilizofungiwa Tanzania na duniani kote hapa unazipata wazi kabisa kama kinyeo cha ngiri!
nhahahaahah.....dooh
 
Mechi ya yanga na mazembe option ipi uhakika? Mechi imekaa kimtego sana
Kwajinsi msimamo wa kundi lao lilivyo Yanga na Mazembe hawana plan nyingine zaidi ya USHINDI
Wote watafunguka kusaka ushindi, uwezekano wa magoli zaidi ni mkubwa

Both team to score 2.17
Yanga to score 1.7
Mazembe to score 1.26
Mazembe win 1.88
Total over 1.5 1.45

Kazi kwako kuamua

NB;
Mpira unadunda 😂
Yanga anaweza kubahatisha goli la mapema akapaki basi shughuli ikaishia hapo 😂
 
Back
Top Bottom