Kila mtu ana Bahati na options zake
Hizo Win na Over unazosema kuna watu NDIO zinawatoa
Wapo Corners tuuu, wengine Bookings
So, options usioipenda wenzio wanaipenda Zaidi
Muhim ni kutambua maana ya Bahati Nasibu
Issues ya usajili sio sahihi,ukiingia kwenye mfumo hata ambae Hans usajili mzuri anakuambia ti Besiktas muda tu kachapwa na Team ya Mwisho wakati yeye yupo UEFA
Muhim vipigo vinaongeza uwezo wa kuhangaika
Kuna watu humu mpaka wanasema hawana Bahati na kampuni Fulani,aisee
Huu mchezo sio Siri,unauhusiano mkubwa mnoo na Afya ya akili zetu