Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Tamaa Yako tu ndio inafanywa kazi iwe ngumuHii kazi ngumu sana aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa Yako tu ndio inafanywa kazi iwe ngumuHii kazi ngumu sana aiseee
Hongera sanaBooom ya supu
Noma somaHapa sina ujanja nirudi tu kwenye mikeka ya buku. Kanji hana huruma
Daah leo nikasema nijilipue kilichonikuta nimeumwa ghafla.Hapa sina ujanja nirudi tu kwenye mikeka ya buku. Kanji hana huruma
HONGERA mkuuTamaa Yako tu ndio inafanywa kazi iwe ngumu
Daaa Athletico Madrid ameondoka na hela yangu Yan Nilimpa atoe goli moja tu limemshinda! Hivi betting mna uhakika kweli tunacheza fair au kuna mauza uza maana sio kwa matokeo haya 😭 laki yangu imeondoka kama upepo nimebaki na elfu 30 kwenye account ngoja niitoe nikale hata kuku leo maana kanji hakawii kunivuta nibet tena leo kumanyoko zakee
We sio mkamaria kamari na tamaa vitu viwili tofauti ata ushinde milion 500 utazirudisha ndani ya wiki ukiendekeza tamaa kamari dawa yake kushukuru unachokiona Sasa wewe unaona kabisa hii timu inatoboa unaongeza nyingine Ili ule nyingi hapo utasubiri sanaHONGERA mkuu
Nadhani utakua mkamalia wa kwanza duniani usiye na “tamaa” ambaye betting kwako ni RAHISI sana
Na utakua unamfumua kanji daily kwa kutokua na tamaa 🙏
Hapa inamaana mcA angeshinda 90 ilikuwa inaenda na majiBaada ya kodi si karudisha 90 yake huyu kiazi
Mkuu si kwa namna hii, huyu ndugu yetu haonei uchungu pesa anayoitafutaSafari ni hatua mkuu
Kubet kama starehe huwezi stake 90 elfu boss wngBet kama starehe sio kazi
Ndio maana nimekupa HONGERA mkuuWe sio mkamaria kamari na tamaa vitu viwili tofauti ata ushinde milion 500 utazirudisha ndani ya wiki ukiendekeza tamaa kamari dawa yake kushukuru unachokiona Sasa wewe unaona kabisa hii timu inatoboa unaongeza nyingine Ili ule nyingi hapo utasubiri sana
Sahihi kabisaNdio maana nimekupa HONGERA mkuu
Wewe ni MKAMALIA BORA kabisa Duniani