Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Nimemfuata over 0.5Hali ngumu
Man U hana short on target hata moja
Hakuna kona hata moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemfuata over 0.5Hali ngumu
Man U hana short on target hata moja
Hakuna kona hata moja
Hii game ni hatariHii mechi ya man u 😂
Haina kadi hata Moja
Wala Kona mpk sasa
Man u hata shot on target
Uliyempa -2 ashinde kwa tofauti ya goli 3 mfano 3(-2)-0 au 4(-2)-1, wakati huyo wa +2 ashinde au sare ila asifungwe zaidi ya goli 1 mfano 1-0(+2), 2-1(+2).Wakuu hivi handcap -2 au 2+ ina maana gani
Mmh hiyi ngumu kumezaUliyempa -2 ashinde kwa tofauti ya goli 3 mfano 3(-2)-0 au 4(-2)-1, wakati huyo wa +2 ashinde au sare ila asifungwe zaidi ya goli 1 mfano 1-0(+2), 2-1(+2).
Hasi maana yake mbabe katanguliwa kabla mchezo haujaanza lazima ashinde zaidi ya hizo goli. Chanya umemtanguliza kibonde asifungwe zaidi ya goli ulizompa.
Toka mwezi wa 8 mwaka jana Nilipo deposit 100k hatimaye jana rasmi Acc yangu ya betting Man U ameikausha ...... 0 balaceFulham game 7 za mwisho mfululizo lazima ana score bao 2+
Na Man U game 7 za mwisho mfululizo lazima ama afunge goli 2+ au afungwe yeye goli 2+
Ngoja nimdhamini Man U win & total 2.5.
Odd 4.55
🙏🙏🙏
msaada hayo maandishi mekundu tatizo lipo wap
Walikuwa nyumbuNani huyo umemwomba