Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sio M Bet maana hiyo hairuhusu ku bet mechi moja, ni kuanzia Mbili.
Mikeka miwili,mmoja nimemuua Man city na Villareal..
Wa pili nimemuua Chelsea na huyu mpinzani wa Villareal nani tena vile...aahh.
Sema mkeka wa kwanza wananipa laki saba kama ukitoka poa na huu wa pili unatoka sitini elfu.
"Nlikuwepo":bolt:
city leo ukimpa goli 4 odd ni 9 ukitia msimbazi una 90
chelsea win kwa goli 4 odd ni 25 ukitia msimbazi una kilo 2 na nusu
U21 za england zote weka 2-4 ongeza empoli v palermo, nancy v la harve, jong psv vsparts odd inakuja kitu kam 60 ukitia msimbazi kilo sita ina kungoja
Huyo meridian?
ya meridian
ukiweka GG both half odd ni 13 ukitia msimbazi kilo na 30
leo city na chelsea ndo game yenye hela
GG maana yake ni nini?
goals for both teams
M-bet inanizingua nilishaitumia siku moja nikalipa na pesa halafu baadaye nikaambiwa namba siyo sahihi huwa naenda mtaani tu kwenye vibanda.
Lakini jana jamvi langu lilichanwachanwa na Liverpool na Napoli!...
Huyo meridian?
Ushauri wa bure,game ya leo ( man city vs chelsea) ngumu, mie nasave kamtaji kangu mpaka weekend
Nimetupa cap draw
Rahim hukubali kushindwa, haya mie nakubania mbupu* ngoma ikubali
Leo mainvestorz wekeni mzigo timu 2 basi. Mpeni mancity na vilareal.
mkuu wewe ni mchawi, yani etihad na uliwapa chelsea wanashinda..!!!!Mkeka unechanika, nili wapa chelsea na vilareak nikatia tamaa nikaweka na wareno GUI, GUI wamepigwa mzigo chali nilikuwa naokota 90 kwa 10.