Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani ee hivi leo Botafogo wanacheza au nimeingia chaka?
Jamvi langu la pili
chelsea
R.madrid
hannover
botafogo
 
Kina ronaldo washamaliza kazi,kina hazard hawaaminiki wale unashangaa drogba katupia. Ngoja nkalale
 
hata ile formula ya timu moja inazngua? Huyu kanjbah anahtaji mkakati wa ziada kumvua nguo,inabidi tubadili uelekeo wa kubet!!


wadau jaribuni kubet iplay8 ina options nyingi za kuweka mkeka wa maana halafu inabonus ya kianzio

iplay8.com the only online casino in tanzania iko registerd kwenye tanzania gaming board
 
wadau jaribuni kubet iplay8 ina options nyingi za kuweka mkeka wa maana halafu inabonus ya kianzio

iplay8.com the only online casino in tanzania iko registerd kwenye tanzania gaming board

hebu tupe proces zake za registration na mengineyo
 
wadau jaribuni kubet iplay8 ina options nyingi za kuweka mkeka wa maana halafu inabonus ya kianzio

iplay8.com the only online casino in tanzania iko registerd kwenye tanzania gaming board

Kaka nimetembelea....mbona wanabana marks ivo au mm ndo sijaelewa .....0.20 hata uweke laki moja hupati kitu aseee
 
hebu tupe proces zake za registration na mengineyo


process ni kama ifuatavyo kama mimi nlivyofanya.
tembelea site yao ya iplay8casino halafu unasign up au register kwa kuweka valid info zako kama email na namba yako ya simu ambayo utatumia wakati wa kudraw na kudeposit pesa yako iwe via tigopesa au mpesa au bank acc jinsi ww utakacyotaka iwe.
pale utakapodeposit pesa utaongezewa dola nane za ziada kama bonus entry.
so kwanzia hapo unaeza weka mkeka wako.

uzuri wa hii online casino ni.
:deposit zake ni kwa dola hata ukiweka kwa tshilings inakuwa in dolla
:wana market nzuri za kuweka mkeka kama double chance yaani unabet timu yako itashinda au kutoa draw, over za kuanzia 0.5 za magoli,
: pia kuna vitu vingi vya ziada kama idadi ya kona, kadi, mfungaji wa goli
 
process ni kama ifuatavyo kama mimi nlivyofanya.
tembelea site yao ya iplay8casino halafu unasign up au register kwa kuweka valid info zako kama email na namba yako ya simu ambayo utatumia wakati wa kudraw na kudeposit pesa yako iwe via tigopesa au mpesa au bank acc jinsi ww utakacyotaka iwe.
pale utakapodeposit pesa utaongezewa dola nane za ziada kama bonus entry.
so kwanzia hapo unaeza weka mkeka wako.

uzuri wa hii online casino ni.
:deposit zake ni kwa dola hata ukiweka kwa tshilings inakuwa in dolla
:wana market nzuri za kuweka mkeka kama double chance yaani unabet timu yako itashinda au kutoa draw, over za kuanzia 0.5 za magoli,
: pia kuna vitu vingi vya ziada kama idadi ya kona, kadi, mfungaji wa goli

Kwa nilivyoangalia wanaonekana wana odds ndogo sana..!
 
Kaka nimetembelea....mbona wanabana marks ivo au mm ndo sijaelewa .....0.20 hata uweke laki moja hupati kitu aseee

hilo la odd kweli ni ndogo kutokana na risk unayochukua ila ngja nikupe mfano wa hii

:ukaweka odd za 0.20 kwa mechi kama tano. unakuwa na odd ya jumla ya 1.5 hivi
hiyo 1.5 unazidisha kwa kiasi unachotaka weka labda dola 5 then unaeza pata dola 7.5 pamoja na kile kiasi ulichoweka unarudishiwa so inakuwa unajumla ya dola 12.5 faida dola saba zaidi.

au pia unaweza weka mkeka wa dola moja kwa kutengeneza accumulator ya mechi 13 maximum ambayo inaeza kukurudishia dola mia 200 kama wewe ni mtaalamu sana wa kubet

ushauri hii kitu ni nzuri kama una pesa nzuri na ukotayari kutoa risk kubwa kupata return nzuri hasa kama unabet kwa malengo.
mfano ukaweka dola hamsini kwa mechi tano za timu kubwa yaani uweke over 0.5 kote yaani barca,psg,bayern,chelsea,arsenal,realmadrid. hizi zote zinaeza kuletea jumla ya total odd ya 0.60 hadi 1.20. hasa ukizingatia ni ngumu sana mechi zao kutokua na goli hata moja.
basi hapo unachukua ila 50 dolla yako unazidisha kwa 0.60 unakuwa na return ya dolla 30. ambayo dolla 50 yako unarudishiwa ukishinda so inakuwa jumla ya dolla 80.
hapo si faida tosha ndugu hasa kama unafanya betting kwa malengo au biashara utakuwa unanufaika zaidi
 
Kaka nimetembelea....mbona wanabana marks ivo au mm ndo sijaelewa .....0.20 hata uweke laki moja hupati kitu aseee

hilo la odd kweli ni ndogo kutokana na risk unayochukua ila ngja nikupe mfano wa hii

:ukaweka odd za 0.20 kwa mechi kama tano. unakuwa na odd ya jumla ya 1.5 hivi
hiyo 1.5 unazidisha kwa kiasi unachotaka weka labda dola 5 then unaeza pata dola 7.5 pamoja na kile kiasi ulichoweka unarudishiwa so inakuwa unajumla ya dola 12.5 faida dola saba zaidi.

au pia unaweza weka mkeka wa dola moja kwa kutengeneza accumulator ya mechi 13 maximum ambayo inaeza kukurudishia dola mia 200 kama wewe ni mtaalamu sana wa kubet

ushauri hii kitu ni nzuri kama una pesa nzuri na ukotayari kutoa risk kubwa kupata return nzuri hasa kama unabet kwa malengo.
mfano ukaweka dola hamsini kwa mechi tano za timu kubwa yaani uweke over 0.5 kote yaani barca,psg,bayern,chelsea,arsenal,realmadrid. hizi zote zinaeza kuletea jumla ya total odd ya 0.60 hadi 1.20. hasa ukizingatia ni ngumu sana mechi zao kutokua na goli hata moja.
basi hapo unachukua ila 50 dolla yako unazidisha kwa 0.60 unakuwa na return ya dolla 30. ambayo dolla 50 yako unarudishiwa ukishinda so inakuwa jumla ya dolla 80.
hapo si faida tosha ndugu hasa kama unafanya betting kwa malengo au biashara utakuwa unanufaika zaidi.
 
Jana nimemkamata Kanjibah..
Leo nawapa Napoli,Sevilla,Fiorentina,Totenham,Lyon,Benfica saaafi kabisa...
Naweka mpunga mzuri nipate na mtaji wa weekend..
 
hilo la odd kweli ni ndogo kutokana na risk unayochukua ila ngja nikupe mfano wa hii

:ukaweka odd za 0.20 kwa mechi kama tano. unakuwa na odd ya jumla ya 1.5 hivi
hiyo 1.5 unazidisha kwa kiasi unachotaka weka labda dola 5 then unaeza pata dola 7.5 pamoja na kile kiasi ulichoweka unarudishiwa so inakuwa unajumla ya dola 12.5 faida dola saba zaidi.

au pia unaweza weka mkeka wa dola moja kwa kutengeneza accumulator ya mechi 13 maximum ambayo inaeza kukurudishia dola mia 200 kama wewe ni mtaalamu sana wa kubet

ushauri hii kitu ni nzuri kama una pesa nzuri na ukotayari kutoa risk kubwa kupata return nzuri hasa kama unabet kwa malengo.
mfano ukaweka dola hamsini kwa mechi tano za timu kubwa yaani uweke over 0.5 kote yaani barca,psg,bayern,chelsea,arsenal,realmadrid. hizi zote zinaeza kuletea jumla ya total odd ya 0.60 hadi 1.20. hasa ukizingatia ni ngumu sana mechi zao kutokua na goli hata moja.
basi hapo unachukua ila 50 dolla yako unazidisha kwa 0.60 unakuwa na return ya dolla 30. ambayo dolla 50 yako unarudishiwa ukishinda so inakuwa jumla ya dolla 80.
hapo si faida tosha ndugu hasa kama unafanya betting kwa malengo au biashara utakuwa unanufaika zaidi.

Hawa mkuu wamechemsha..
.yani watu tunalalamika muhindi anabana marks wakati huyo jamaa ukiunganisha mechi 5 ndo unaeza pata marks ya muhindi kwa timu moja....afu huwezi kuweka mkeka timu 13 alafu ule pesa...nilichokiona kizuri kwake ni wale wanaoonekana underdogs anawapa marks nyingi sana..
 
Hawa mkuu wamechemsha..
.yani watu tunalalamika muhindi anabana marks wakati huyo jamaa ukiunganisha mechi 5 ndo unaeza pata marks ya muhindi kwa timu moja....afu huwezi kuweka mkeka timu 13 alafu ule pesa...nilichokiona kizuri kwake ni wale wanaoonekana underdogs anawapa marks nyingi sana..

kuna ki2 kinaitwa skyspot bet najaribu kukifanyia upembuzi yakinifu nasikia wapo poa sana. Kama game ya jana chelsea alipewa 4 galatasaray 7..
 
Back
Top Bottom