Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana nimemkamata Kanjibah..
Leo nawapa Napoli,Sevilla,Fiorentina,Totenham,Lyon,Benfica saaafi kabisa...
Naweka mpunga mzuri nipate na mtaji wa weekend..
mkuu hii normal imeleta bei gani?mana voda wanazngua tu
Mi natumia Meridian betting (machine)..
Normal imeleta 6.8 points...
process ni kama ifuatavyo kama mimi nlivyofanya.
tembelea site yao ya iplay8casino halafu unasign up au register kwa kuweka valid info zako kama email na namba yako ya simu ambayo utatumia wakati wa kudraw na kudeposit pesa yako iwe via tigopesa au mpesa au bank acc jinsi ww utakacyotaka iwe.
pale utakapodeposit pesa utaongezewa dola nane za ziada kama bonus entry.
so kwanzia hapo unaeza weka mkeka wako.
uzuri wa hii online casino ni.
:deposit zake ni kwa dola hata ukiweka kwa tshilings inakuwa in dolla
:wana market nzuri za kuweka mkeka kama double chance yaani unabet timu yako itashinda au kutoa draw, over za kuanzia 0.5 za magoli,
: pia kuna vitu vingi vya ziada kama idadi ya kona, kadi, mfungaji wa goli
anayecheza na shakter kapewa 7 sijui nijilipue?dah
Mkuu tumia ile kanuni ya kidogo chetu... Kikubwa...?
Bora points chache unaweka hela nyingi...20,000*6.8= 136k..Nasikilizia weekend...
Halfu kujilipua ligi ya Uingereza ndiyo nzuri...kule Fulham anadraw na Chelsea,Sunderland anamfunga Man City n.k...Ligi nyingine michezo yao inatabirika sana...
Nimeregister na kudeposit iplay8casino.com, wapo vizuri hakuna tena kujibana dakika 2.5 na zile option za muind zipo kama first/second half na bonge la bonus nimepata.. kwenye point zao mfano 0.5 ni sawa sawa na 1.5 ya muind na 1.5 yake ni 2.5 msiogope kuhusu points..
dau lake linaanzia bei gan?na unawekaje dau?mana mi nimeregister toka jana nimepanga mkeka nashangaa hata pa kuweka dau sipaoni naona tu kila mechi nimewekewa gap
Ulidiposit pesa?
benki?mpesa?au tigopesa
ndiyo inatumika kudeposit?
Nimeregister na kudeposit iplay8casino.com, wapo vizuri hakuna tena kujibana dakika 2.5 na zile option za muind zipo kama first/second half na bonge la bonus nimepata.. kwenye point zao mfano 0.5 ni sawa sawa na 1.5 ya muind na 1.5 yake ni 2.5 msiogope kuhusu points..
Nimeregister na kudeposit iplay8casino.com, wapo vizuri hakuna tena kujibana dakika 2.5 na zile option za muind zipo kama first/second half na bonge la bonus nimepata.. kwenye point zao mfano 0.5 ni sawa sawa na 1.5 ya muind na 1.5 yake ni 2.5 msiogope kuhusu points..