Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Maelekezo ya jinsi ya ku bet na M Pesa please


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Nimeshapata thanks ImageUploadedByJamiiForums1394029778.180488.jpg


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Kuweni makini na game za kirafiki. Mara nyingi game zinakuaga droo, halafu kuna katabia ka game kununuliwa kamekuja juu sana nowdayz si mnakumbuka mwaka jana zimbabwe?
 
Betting Zone


Saturday 08.03.2014
Win:
Barcelona
Bayern munich
Chelsea

Sunday 09.03.2014
Win:
Real Madrid
Ajax

Tuesday 11.03.2014
Win:
Bayern munich
Atletico Madrid



In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Naona leo hakuna game ya maana acha niwekeze kwenye horse racing
 
Cheki hii unaweka mzigo wa milion 4 sawa na pesa ya kirusi 80000 rubles then unashinda milion 110 za kibongo 214800 rubles,chek watu wanavyotupia mzigo wa ukwel na profit ya ukwel
00012.PNG
 
sasa kaka nataka kujiunga but mwenzio cjui procedures.unaweza nisaidia kupata maelezo ya kina?
 
sasa kaka nataka kujiunga but mwenzio cjui procedures.unaweza nisaidia kupata maelezo ya kina?

Fungua website yao, www.meridian.co.tz
Nenda sehemu imeandikwa join now
Utajaza details zako, kama majina, email, DOB, etc
Then kuna sehemu huwa inachanganya kwenye adress andika physical mail yako like mtaa
Then kwenye post code weka namba za box ya posta yako
Then utachagua country, njia ya malipo etc
Ukimaliza hapo watakutumia codes flani kwenye mail yako ambazo ndio utakua unazitumia kujaza hela na kutolea hela....
Then kama unataka kuweka hela unaenda kwenye duka lolote la meridian popote lilipo unajaza hela.........
Betting amount zake ni kuanzia sh 100
 
Fungua website yao, www.meridian.co.tz
Nenda sehemu imeandikwa join now
Utajaza details zako, kama majina, email, DOB, etc
Then kuna sehemu huwa inachanganya kwenye adress andika physical mail yako like mtaa
Then kwenye post code weka namba za box ya posta yako
Then utachagua country, njia ya malipo etc
Ukimaliza hapo watakutumia codes flani kwenye mail yako ambazo ndio utakua unazitumia kujaza hela na kutolea hela....
Then kama unataka kuweka hela unaenda kwenye duka lolote la meridian popote lilipo unajaza hela.........
Betting amount zake ni kuanzia sh 100

safi sana, maelezo mujaalabu
 
Back
Top Bottom