Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mara mia Mwanza,hayo maeneo mengine ni very prone kwenye Mafuriko
Nafkiri bado haujawahi izunguke Arusha...
Wilaya ya Longido na Monduli,kamwe haiwezi kumbwa na mafuriko, mana ni kame sana.
Wilaya ya Karatu sahau,,,
Hapo
Arusha mjini sehemu zenye kujaa maji ni chache sana,,,yaani sana
labda Wilayani Meru
Yani unavyoina Mbeya mjini na miunuko, ndiyo sawa na Arusha mjini....
 
Mtu na akili zako timamu huwezi kwenda kuishi Unguja. Kunawafaa wenyewe tu. Viongozi wao wote wastaafu wanaishi Masaki. Amani Karume mara nyingi sana namuona Kempiski Kilimanjaro hotel anapiga maji
Ww ndugu wa dam una ubaguzi tu
Faham zanzibar wanaishi wtu wa nchi kutoka pembe tafaut za dunia. wzungu,waarabu,wahindi wachina n,k km huelew zanzobar ina mchanganyko wa wtu wenye asili ya nchi tafauti duniani zama kwa zama Na ndio mana wazanzibari wengi sana Wk njee ya Africa wamejiwekeza zaid kiuchumi huko. Pia usishngae wastaafu kuwaona Wk dar elewa ukanda wa pwani (east afrika)yte lilikuwa sehem ya eneo la zanzibar Kabla ya kuwepo hata Hiyo tanganyka inokupa kiburi cha ubaguzi Leo Hii kasome historia vizuri ujifunze usikurupuke tu
Na hata hivyo wastaafu kuwaona dar wko hp kwao kwa ndugu zao wazanzibara (wtu wa ukanda wa pwani ) hawa huwezi kuwatenganisha Na wazanzibari (unguja Na pemba )ukiwaona mikoani bara hko ndio ushangae lkn kwa eneo lolote la pwn wanajiskia wko nyumbani km una chuki yako baki nayo tu.

Ila jiulize kwnn takwim kwa Mwaka huu zimetolewa Kuwa kiwanja cha ndege Bora Africa ni uwanja wa Abeid A Karume (unguja ) pia Kwanini zanzibar iko vizuri kwa biashara ya utalii kwa east Africa ikifuatiwa Na Kilimanjaro na Arusha kwa tz maana yk zanzobar kiuchumi iko vizuri ingawa nikisiwa Na idadi ya watu wachache wanao ishi uki linganisha Na mkoa mmoja wa tnz bara (tanganyk ) acheni chuki za kipuuz zanzibar beautiful island .

Na wtu km nyny ndio mno sababisha wazo la passport ili tujikinga Na chuki zenu za (ukabila udini na ukanda)mlokua nazo moyoni mwenu.
aya mambo ubaguzi yana athr mbaya mno kwa usitawi wa taifa la tnz

Tunaelewa zanzibar ni kikwazo kwa wale mnaomalengo ya kutaka kuja Kuwagawa watanganyka weznu Na hilo ndio lengo lenu ila saiv mnajifch kwa mgongo wa chuki zidi ya zanzibar.(muungano ) Basi tumekushtukien mapema mbona tu Kuwa makini mna Zamira chafu.

Sio wte ndugu zetu wa dam badhi kila inapo tajwa zanzibar kwa Wema Basi yalokua moyoni mwao wnayatoa hadharani ila roho mbaya na chuki haijengi bali ni chanzo cho mfarakano ya wenyw kwa wnyew .
 
Ww ndugu wa dam una ubaguzi tu
Faham zanzibar wanaishi wtu wa nchi kutoka pembe tafaut za dunia. wzungu,waarabu,wahindi wachina n,k km huelew zanzobar ina mchanganyko wa wtu wenye asili ya nchi tafauti duniani zama kwa zama Na ndio mana wazanzibari wengi sana Wk njee ya Africa wamejiwekeza zaid kiuchumi huko. Pia usishngae wastaafu kuwaona Wk dar elewa ukanda wa pwani (east afrika)yte lilikuwa sehem ya eneo la zanzibar Kabla ya kuwepo hata Hiyo tanganyka inokupa kiburi cha ubaguzi Leo Hii kasome historia vizuri ujifunze usikurupuke tu
Na hata hivyo wastaafu kuwaona dar wko hp kwao kwa ndugu zao wazanzibara (wtu wa ukanda wa pwani ) hawa huwezi kuwatenganisha Na wazanzibari (unguja Na pemba )ukiwaona mikoani bara hko ndio ushangae lkn kwa eneo lolote la pwn wanajiskia wko nyumbani km una chuki yako baki nayo tu.

Ila jiulize kwnn takwim kwa Mwaka huu zimetolewa Kuwa kiwanja cha ndege Bora Africa ni uwanja wa Abeid A Karume (unguja ) pia Kwanini zanzibar iko vizuri kwa biashara ya utalii kwa east Africa ikifuatiwa Na Kilimanjaro na Arusha kwa tz maana yk zanzobar kiuchumi iko vizuri ingawa nikisiwa Na idadi ya watu wachache wanao ishi uki linganisha Na mkoa mmoja wa tnz bara (tanganyk ) acheni chuki za kipuuz zanzibar beautiful island .

Na wtu km nyny ndio mno sababisha wazo la passport ili tujikinga Na chuki zenu za (ukabila udini na ukanda)mlokua nazo moyoni mwenu.
aya mambo ubaguzi yana athr mbaya mno kwa usitawi wa taifa la tnz

Tunaelewa zanzibar ni kikwazo kwa wale mnaomalengo ya kutaka kuja Kuwagawa watanganyka weznu Na hilo ndio lengo lenu ila saiv mnajifch kwa mgongo wa chuki zidi ya zanzibar.(muungano ) Basi tumekushtukien mapema mbona tu Kuwa makini mna Zamira chafu.

Sio wte ndugu zetu wa dam badhi kila inapo tajwa zanzibar kwa Wema Basi yalokua moyoni mwao wnayatoa hadharani ila roho mbaya na chuki haijengi bali ni chanzo cho mfarakano ya wenyw kwa wnyew .
Yote hayo...
 
Hakuna mkoa bora wa kuishi kama tanga
Vyote ulivyotaja vipo, bandari, mpaka na inchi jirani, ardhi safi, viwanda, matunda, chakula na kila chema
Sema ni serikali iiwache tu, isiibane kwa sababu wanazozijua za kudhoofisha.

tanga itakuwa mbali sana

Zamani ilikuwa ndio kimbilio la wengi kabla ya kuminywa kiaina kutokana na... au basi acha tu
 
Mtu na akili zako timamu huwezi kwenda kuishi Unguja. Kunawafaa wenyewe tu. Viongozi wao wote wastaafu wanaishi Masaki. Amani Karume mara nyingi sana namuona Kempiski Kilimanjaro hotel anapiga maji
Bado inaitwa kempisk kwani
 
Ishi kokote duniani si sumbawanga kivuli chako mwenyewe kinaanza kukufanyia vituko we unatembea chenyewe kinasimama.Kuna jamaa kivuli chake kilimgomea kumfuata kilisimama kisha kikaanza kurudi alipotoka ikabidi jamaa aanze kukifuata,kilipoona usumbufu kikatoka nduki jamaa akawa anakifukuza huku analia
 
Kama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana
Wanakuambia mikoa ya kuishi Acha umaku wa ukabila wewe bwege
 
Popote utaishi Tu endapo hela unayo, hakuna mkoa utakaoishi bila kupambana alafu ukafanikiwa kupata riziki, huo mkoa haupo. Popote utakapokuwepo lazima upmbane Tu Japo fursa zinatofautiana kutoka eneo moja kwenda jingine
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Unguja daily nanunua maeneo nimezuga kusilimu
 
Back
Top Bottom