Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Ishi kokote duniani si sumbawanga kivuli chako mwenyewe kinaanza kukufanyia vituko we unatembea chenyewe kinasimama.Kuna jamaa kivuli chake kilimgomea kumfuata kilisimama kisha kikaanza kurudi alipotoka ikabidi jamaa aanze kukifuata,kilipoona usumbufu kikatoka nduki jamaa akawa anakifukuza huku analia
We chizi kweli!!!!🤣🤣🤣🤣
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Wewe bado hujatembea. Ulishawahi kusikia kuna mtu ameenda kutafuta maisha Kilimanjaro?
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Screenshot_20240507-055411.png

Kwahiyo dsm inawatu 17% yawatanzania!?.
 
Ishi kokote duniani si sumbawanga kivuli chako mwenyewe kinaanza kukufanyia vituko we unatembea chenyewe kinasimama.Kuna jamaa kivuli chake kilimgomea kumfuata kilisimama kisha kikaanza kurudi alipotoka ikabidi jamaa aanze kukifuata,kilipoona usumbufu kikatoka nduki jamaa akawa anakifukuza huku analia
Nafkiri bado haujajua matukio ya Kanda ya Ziwa....Sumbawanga ni jina ...
Ila kuna maeneo ni watabe...
 
Hiyo mbeya mnaisifiaga sijui kwa kipi..mara Mia hata songwe
Well,Mbeya
  • Ya tatu kwa uchangiaji katika pato la Taifa
  • Ina chakula kingi
  • Wilaya zote zimeunganishwa kwa rami
  • Ina vyuo vikuu takribani 6
  • Ina miundombinu ya aina zote :Meli,Mabasi Barabarani,Reli,Ndege,
  • Ina Miji mikubwa miwili :Mbeya Jiji,Kyela
  • Ina shule nyingi na zenye kuongeza kitaifa katika ufaulu
  • Ina vyuo vikuu takribani vitano
  • Ina Hospitali kubwa 3
  • Makao makuu ya Kanda
  • Ina Uchimbaji wa madini
  • Ina Viwanda vingi
  • Ina soko kubwa la mazao
  • Ina stendi kubwa ya mabasi
Katika hivyo vyote nilivyotaja,wapi Songwe imeipita Mbeta
 
Wewe bado hujatembea. Ulishawahi kusikia kuna mtu ameenda kutafuta maisha Kilimanjaro?
Yeah,,,
Kilimanjaro ni moja kati ya mikoa ambayo kuna ujenzi wa kutosha wa nyumba za kifahari....watu wa tasnia ya ujenzi wengi wanapiga pesa kule....

Kwenye utalii,,Rombo Kuna mlima Kilimanjaro na maji moto,maporomoko ya maji,Same napo hivyohivyo ...watu wa Sekta ya utalii wengi wameenda huko....

Kilimanjaro imeajili walimu wengi mana ni moja ya mikoa mi5 yenye shule nyingi nchini
 
Nafkiri bado haujawahi izunguke Arusha...
Wilaya ya Longido na Monduli,kamwe haiwezi kumbwa na mafuriko, mana ni kame sana.
Wilaya ya Karatu sahau,,,
Hapo
Arusha mjini sehemu zenye kujaa maji ni chache sana,,,yaani sana
labda Wilayani Meru
Yani unavyoina Mbeya mjini na miunuko, ndiyo sawa na Arusha mjini....
Karatu juzi tu hapo nimepita kuna mafuriko mpaka barabara zimefungwa au karatu ipi!!?
 
Wilaya zipi hizo mkuu maaba nataka nikimbilie huko
Tanga ipo vizuri sana kwa Kilimo....inalima
Mazao ya matunda ya citrus (machungwa,chenza,ndimu,limau),mahindi na inalima mazao ya viungo vya chakula,mkonge....
Handeni,Pangani,na Lushoto....
Ila
Tanga mjini pamepoa sanaaaa....yani kama wagosi walivyoimba....
 
Ww ndugu wa dam una ubaguzi tu
Faham zanzibar wanaishi wtu wa nchi kutoka pembe tafaut za dunia. wzungu,waarabu,wahindi wachina n,k km huelew zanzobar ina mchanganyko wa wtu wenye asili ya nchi tafauti duniani zama kwa zama Na ndio mana wazanzibari wengi sana Wk njee ya Africa wamejiwekeza zaid kiuchumi huko. Pia usishngae wastaafu kuwaona Wk dar elewa ukanda wa pwani (east afrika)yte lilikuwa sehem ya eneo la zanzibar Kabla ya kuwepo hata Hiyo tanganyka inokupa kiburi cha ubaguzi Leo Hii kasome historia vizuri ujifunze usikurupuke tu
Na hata hivyo wastaafu kuwaona dar wko hp kwao kwa ndugu zao wazanzibara (wtu wa ukanda wa pwani ) hawa huwezi kuwatenganisha Na wazanzibari (unguja Na pemba )ukiwaona mikoani bara hko ndio ushangae lkn kwa eneo lolote la pwn wanajiskia wko nyumbani km una chuki yako baki nayo tu.

Ila jiulize kwnn takwim kwa Mwaka huu zimetolewa Kuwa kiwanja cha ndege Bora Africa ni uwanja wa Abeid A Karume (unguja ) pia Kwanini zanzibar iko vizuri kwa biashara ya utalii kwa east Africa ikifuatiwa Na Kilimanjaro na Arusha kwa tz maana yk zanzobar kiuchumi iko vizuri ingawa nikisiwa Na idadi ya watu wachache wanao ishi uki linganisha Na mkoa mmoja wa tnz bara (tanganyk ) acheni chuki za kipuuz zanzibar beautiful island .

Na wtu km nyny ndio mno sababisha wazo la passport ili tujikinga Na chuki zenu za (ukabila udini na ukanda)mlokua nazo moyoni mwenu.
aya mambo ubaguzi yana athr mbaya mno kwa usitawi wa taifa la tnz

Tunaelewa zanzibar ni kikwazo kwa wale mnaomalengo ya kutaka kuja Kuwagawa watanganyka weznu Na hilo ndio lengo lenu ila saiv mnajifch kwa mgongo wa chuki zidi ya zanzibar.(muungano ) Basi tumekushtukien mapema mbona tu Kuwa makini mna Zamira chafu.

Sio wte ndugu zetu wa dam badhi kila inapo tajwa zanzibar kwa Wema Basi yalokua moyoni mwao wnayatoa hadharani ila roho mbaya na chuki haijengi bali ni chanzo cho mfarakano ya wenyw kwa wnyew .

Mkuu, Wengi wenye chuki na Zanzibar ni wanaotoka Kaskazini na kanda ya ziwa. Hata hapa DSM wanajifanya kuvimba sana
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Wewe bado hujakaa Arusha wewe. Yani Arusha hakuna maji? Chakula gharama? Yani ilitakiwa Arusha ndio iwe ya kwanza. Dar inaongoza kwa wingi wa watu na mzunguko wa pesa basi. Vingine vyote ni kizungumkuti. Maji shida, usafiri tabu, joto kama tanuru, we mzima kweli kichwani?
 
Karatu juzi tu hapo nimepita kuna mafuriko mpaka barabara zimefungwa au karatu ipi!!?
Sasa barabara kufungwa kisa maji,,,inatokeaga kila mkoa...
Sasa hivi hapa :Barabara ya Mtwara kwenda Lindi kuna kipande kimesombwa maji...ukarabati waendelea.

Mwaka juzi kuna kipande cha Barabara kwenda Moshi kilisombwa na maji, pale Korogwe......

Kila kipindi cha mvua kuna kipindi cha barabara kwenda Dodoma mjini kutoka Gairo huwa hakipitiki kisa barabara kujaa maji.....

Pale Babati,,mvua zikiwa kubwa Ziwa Babati hujaa maji mpaka kupeleka maji kwenye barabara ya kuingia Babati,pale kabla ya Mahakamani....

Yani ,hauwezi ukasema Arusha prone to Mafuriko,itakuwa masihala....
Lazima uelewe kuwa mvua za safari hii zimezidi kipimo.
 
Mzee ingia youtube andika mafuriko karatu ujionee maana mimi siwezi kuandika aya ndefu kitu ambacho hata kwenye vyombo vya habari walionyesha
Sasa barabara kufungwa kisa maji,,,inatokeaga kila mkoa...
Sasa hivi hapa :Barabara ya Mtwara kwenda Lindi kuna kipande kimesombwa maji...ukarabati waendelea.

Mwaka juzi kuna kipande cha Barabara kwenda Moshi kilisombwa na maji, pale Korogwe......

Kila kipindi cha mvua kuna kipindi cha barabara kwenda Dodoma mjini kutoka Gairo huwa hakipitiki kisa barabara kujaa maji.....

Pale Babati,,mvua zikiwa kubwa Ziwa Babati hujaa maji mpaka kupeleka maji kwenye barabara ya kuingia Babati,pale kabla ya Mahakamani....

Yani ,hauwezi ukasema Arusha prone to Mafuriko,itakuwa masihala....
Lazima uelewe kuwa mvua za safari hii zimezidi kipimo.
 
Back
Top Bottom