SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Kilimanjaro enyewe wanalia shida nkafanye nao kazi tena budder hizi story kwa mtu ambae hajawah kanyaga anga hzo ndio atadanganyka.Kama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na Arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana
Pambana popote pale kama ni kutoboa utatoboa tu.