Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

We hukuishi Dar umepita Dar.
Sema Kigamboni ipi ina shida ya maji.
Maana hata mwaka juzi na jana kulivyokua na ukame Kigamboni ndio imetumika kusambaza maji Dar es salaam maeneo ambayo maji yalikua shida.
Kigamboni ina visima vingi binafsi na vya serikali pia.
Kipindi cha ukame ni Kigamboni pekeyake haikupata hadha ya maji pamoja na Temeke yote.
Vyakula kula kulingana na pesa yako huwenda labda wewe pesa huna.
Nenda Tandika na Stereo kuna mabanda ya kuku wa kizungu na wa kienyeji,wakizungu bei 7000 mzima wa kienyeji 18k mpk 20k.
Pia ukitaka vipande wanakukatia huyo wa kienyeji.
Mchele unaoliwa Dar ndio unaoliwa sehemu zingine maana Dar hawalimi halkadhalika nyanya na viungo vingine.
Mboga za majani Kigamboni kuna bustani kibao wanalima bila madawa.
DAR HUKUKAA WEWE UMEPITA TU.
Wanaosemaga Dar kuna shida ya maji sijui huzungumzia wapi...yaaani.
 
Oh to me Mwanza is the best city in Tanzania, no matter what slums ziko in every city hapa Tz, na tuwe wakweli tu Mwanza hata kwa muonekano tu ni pazuri kichiz...

Imagine Mwanza ingekuwa nchi zilizoendleaa🔥🔥 ikawekwa infrastructures zakwendaa dah! Ni vle pia serikali ni kama imepazila kule kwenye swala la barabara.... Nktoka DOM naenda kujichimbia RockCity.
Tatizo jingine kansa inayosababishqa na shughuli za migodi huko.

Binafsi siwezi ishi huko maana hiyo ndio Kanda inaongoza Kwa kansa na Magonjwa ya ajabu ajabu.
 
Kipindi ikifika ukakaa mikoa kama 10,utakuja kusema Mbeya afadhali....
Ukifika kanda ya kati utajua maana ya shida maji....
Kinachouma zaidi mbeya mito unaiona inatiririsha maji lakini kutoka bombani ndio changamoto, mimi mwenyeji wa lindi lakini shida sio kubwa sana, pia nimekaa dodoma mjini, ni nafuu
 
Wanaosemaga Dar kuna shida ya maji sijui huzungumzia wapi...yaaani.
Ndio mimi namshangaa anachosema.
Isije ikawa akaenda Kisarawe kwa Jokate kule akadai kuwa kuna uhaba wa maji,kule Kisarawe kweli kuna uhaba ila Kisarawe ni mkoa wa Pwani sio Dar es salaam.
Na kutoka Chanika kwenda Kisarawe ni hatua chache tu.
 
Daslam ni jiji la kutafutia maisha sio kuishi permanently...ni jiji la kimkakati hilo ukiwa hustler hela ipo then unaenda kujenga kwenu huko Vwawa kabla kina Mwajuma wa Buza na Tandale hawajakukamatilia....
 
Tatizo jingine kansa inayosababishqa na shughuli za migodi huko.

Binafsi siwezi ishi huko maana hiyo ndio Kanda inaongoza Kwa kansa na Magonjwa ya ajabu ajabu.
Hzo ni takwimu kama takwimu zingne tu bro wewe ishi hukohuko wengne acha tujirushe Mwanza, nnaimani hata hayo magonjwa Kuna watu wanaishi Mwanza miaka na hawajui km yapo ni kama mnavosema Dodoma tuna ugua sana macho ila tangu nmezaliwa hadi leo sijawahi ugua macho 😁 zakuambiwa weka na zako, kama ipo ipo haipo haipo tu bro.

#LiveURELife.
 
Ndio mimi namshangaa anachosema.
Isije ikawa akaenda Kisarawe kwa Jokate kule akadai kuwa kuna uhaba wa maji,kule Kisarawe kweli kuna uhaba ila Kisarawe ni mkoa wa Pwani sio Dar es salaam.
Na kutoka Chanika kwenda Kisarawe ni hatua chache tu.
Sidhani kama kuna mkoa una Visima vingi vya maji kama Dar aiseeh....
 
Daslam ni jiji la kutafutia maisha sio kuishi permanently...ni jiji la kimkakati hilo ukiwa hustler hela ipo then unaenda kujenga kwenu huko Vwawa kabla kina Mwajuma wa Buza na Tandale hawajakukamatilia....
Wanaotafuta peas Dar,hujenga kwao lakini huishia kuweka makazi hapahapa mjini,,,kwao yanabaki magofu...
 
Hzo ni takwimu kama takwimu zingne tu bro wewe ishi hukohuko wengne acha tujirushe Mwanza, nnaimani hata hayo magonjwa Kuna watu wanaishi Mwanza miaka na hawajui km yapo ni kama mnavosema Dodoma tuna ugua sana macho ila tangu nmezaliwa hadi leo sijawahi ugua macho 😁 zakuambiwa weka na zako, kama ipo ipo haipo haipo tu bro.

#LiveURELife.
Omba tu bro isikukute, nipo Mwanza sijasafiri kabisa kutoka nje ya mkoa mwaka na miezi harakati zangu nafanya humu humu tu town ila nilipatwa na huo ugonjwa wa macho aisee ni balaa toka nazaliwa ndo nmeugua macho ukubwani ni ugonjwa wa kis*nge sana yamenitesa almost mwezi..
 
Watu mna list tu mikoa Yenu. Hakuna mkoa Bora kuishi kama A- Town. Dar ni joto na miharufu ya ovyo. Kila sehemu ni chafu. Sehemu nyingine ni njombe japo Kuna baridi lakini maisha ni rahisi. Kanda ya ziwa labda kagera ila mikoa mingine ni njaa tu, Dodoma futa kabisa kwenye list, huo mkoa si wakuishi ni ukame Kila kitu kinatoka singida, Iringa na morogoro. Hivyo maisha ya Dom ni gharama maana unaishi jangwani .
 
Kigamboni ipi ina shida ya maji....?🤣🤣🤣 unaongelea Dar ipi mwenzetu....
Quality ya chakula, duh ?
 
Back
Top Bottom