greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
- Thread starter
-
- #21
Nafkiri bado haujawahi izunguke Arusha...Mara mia Mwanza,hayo maeneo mengine ni very prone kwenye Mafuriko
Kumbe unajua ni.milioni 6 sasa mbona unasena ni 17%.Takribani watu millioni 6 wapo hapo, na hakuna anayekufa njaa....
Kujituma kwako tu.
MkuuKumbe unajua ni.milioni 6 sasa mbona unasena ni 17%.
Ww ndugu wa dam una ubaguzi tuMtu na akili zako timamu huwezi kwenda kuishi Unguja. Kunawafaa wenyewe tu. Viongozi wao wote wastaafu wanaishi Masaki. Amani Karume mara nyingi sana namuona Kempiski Kilimanjaro hotel anapiga maji
Yote hayo...Ww ndugu wa dam una ubaguzi tu
Faham zanzibar wanaishi wtu wa nchi kutoka pembe tafaut za dunia. wzungu,waarabu,wahindi wachina n,k km huelew zanzobar ina mchanganyko wa wtu wenye asili ya nchi tafauti duniani zama kwa zama Na ndio mana wazanzibari wengi sana Wk njee ya Africa wamejiwekeza zaid kiuchumi huko. Pia usishngae wastaafu kuwaona Wk dar elewa ukanda wa pwani (east afrika)yte lilikuwa sehem ya eneo la zanzibar Kabla ya kuwepo hata Hiyo tanganyka inokupa kiburi cha ubaguzi Leo Hii kasome historia vizuri ujifunze usikurupuke tu
Na hata hivyo wastaafu kuwaona dar wko hp kwao kwa ndugu zao wazanzibara (wtu wa ukanda wa pwani ) hawa huwezi kuwatenganisha Na wazanzibari (unguja Na pemba )ukiwaona mikoani bara hko ndio ushangae lkn kwa eneo lolote la pwn wanajiskia wko nyumbani km una chuki yako baki nayo tu.
Ila jiulize kwnn takwim kwa Mwaka huu zimetolewa Kuwa kiwanja cha ndege Bora Africa ni uwanja wa Abeid A Karume (unguja ) pia Kwanini zanzibar iko vizuri kwa biashara ya utalii kwa east Africa ikifuatiwa Na Kilimanjaro na Arusha kwa tz maana yk zanzobar kiuchumi iko vizuri ingawa nikisiwa Na idadi ya watu wachache wanao ishi uki linganisha Na mkoa mmoja wa tnz bara (tanganyk ) acheni chuki za kipuuz zanzibar beautiful island .
Na wtu km nyny ndio mno sababisha wazo la passport ili tujikinga Na chuki zenu za (ukabila udini na ukanda)mlokua nazo moyoni mwenu.
aya mambo ubaguzi yana athr mbaya mno kwa usitawi wa taifa la tnz
Tunaelewa zanzibar ni kikwazo kwa wale mnaomalengo ya kutaka kuja Kuwagawa watanganyka weznu Na hilo ndio lengo lenu ila saiv mnajifch kwa mgongo wa chuki zidi ya zanzibar.(muungano ) Basi tumekushtukien mapema mbona tu Kuwa makini mna Zamira chafu.
Sio wte ndugu zetu wa dam badhi kila inapo tajwa zanzibar kwa Wema Basi yalokua moyoni mwao wnayatoa hadharani ila roho mbaya na chuki haijengi bali ni chanzo cho mfarakano ya wenyw kwa wnyew .
WivuDar es salaam itoe hapo
Moshono nako papo Bomba sana,,na mitaa ya Baraa kwenda kwa mrefu.Nje ya dar
Napenda arusha asee
Napenda niishi kule meru
Bado inaitwa kempisk kwaniMtu na akili zako timamu huwezi kwenda kuishi Unguja. Kunawafaa wenyewe tu. Viongozi wao wote wastaafu wanaishi Masaki. Amani Karume mara nyingi sana namuona Kempiski Kilimanjaro hotel anapiga maji
Inategemea upo eneo gani....Kuna sehemu buku 5 familia inapata milo mi 3 ya nguvu 👍Dar es salaam itoe hapo
Wanakuambia mikoa ya kuishi Acha umaku wa ukabila wewe bwegeKama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana
Unguja daily nanunua maeneo nimezuga kusilimuIfuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
1. Dar es Salaam
- Upatikanaji wa chakula
- Urahisi wa Usafiri
- Elimu
- Hali ya Hewa
- Huduma za maji
- Mitandao ya simu
- Usalama
- Biashara
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.
2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.
3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.
4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.
5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.
6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo
7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.
8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.
9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.
10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
- Aina za vyakula
- Udini
- Uhitaji wa vitambulisho
- Leseni ya udereva kutokukubaliwa
- Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.
NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.